Makamanda Endeleeni Kutoa Ada za Uanachama

Makamanda Endeleeni Kutoa Ada za Uanachama

Mbowe ni mstaarabu na muungwana, ila ni mlaini mno hawezi kuisukuma CCM pembeni. Lissu ni mgumu anaweza kuipelekea CCM moto na ikaungua na kuipiga chini, tatizo lake ni kichaa, mdomo wake hauna breki!. Japo Lowassa Alikuwa a Liability CCM, Akawa Asset Chadema. Lissu is a Very Bad Liability, but is The Only Asset Chadema Has Kuwangiza Ikulu!. Je... ?
P
Leo umeandika kama Paschal Mayala wa Ikulu 2016 na siyo chawa wa 2024, kimsingi Mbowe hawezi kuitoa CCM lakini Lisu kwa support ya watanzania anaweza, sasahivi CCM wanapambana Mbowe arudi madarakani akawe kama Lipumba hawana tatizo naye.
 
Makamanda niliwaambia jana kuwa tunapiga ada zenu za uanachama hapa nyumbani kwa mjomba wangu nyie mkabisha, sasa leo mmethibitisha nyumbu wakubwa nyie. Na kuanzia kesho kafanyeni kazi kama punda mkipata hela mje mlipie kadi za uanachama tuendelee kula bata.
 
Back
Top Bottom