Makamanda kadhaa wa HAMAS wajisalimisha kwenye hospitali ya Shifa

Makamanda kadhaa wa HAMAS wajisalimisha kwenye hospitali ya Shifa

Kabla ya IDF kuingia Gaza magaidi ya Hamas yalikuwa yanarusha rockets 7000 kwa siku je baada ya kuingia Gaza mara ya mwisho Hamas kurusha rockets Israel ilikuwa lini? Ukipata jibu hilo ndio kigezo mojawapo Cha IDF kuwa jeshi Bora

#From the river to the mad all Hamas must end up dead.
Nini walichofanikiwa kufanya hao diaper force zaid ya kuua watoto na wanawake
 
Hacha ulongo. Hakuna Hamas hata mmoja aliyejisalimisha na haitatokea kitu kama hicho.

Kilichotokea hapo Shifa hosipitali ni mwendelezo wa propaganda za jeshi la Israeli. Ikumbukwe hii ni mara ya pili kwa jeshi la Israeli kuivamia hiyo hoipitali kwa madai kuwa hosipitali inatumika na Hamas kama operation center

Mara yakwanza wameivamei hiyo hospital hawakupata ushaidi wa madai yao waliokuwa wanayahubili,.

Ssahivi imewabidi waivamie tena baada ya juzi kati kupigwa na ambush ya kibabe karibu na maeneo ya hiyo hosipitali na kupelekea wanajeshi 17 wa IDF kulambishwa mchanga.

Sasa wameamua kuivamia tena hiyo hosipitali wakiamaini watawakamata makomandoo wa Hamas na kuambulia patupu. Kwa aibu wameamua kukamata raia waliokuwa wamejihifadhi hapo kwa vita na wagonjwa kwa minajiri ya kuwahoji zaidi

Ndio nini hii umeandika, mnaaminishana pumba sana, huko Masjid, viongozi wa, hamas wameshindwa kujitoa mhanga na kujisalimisha.
 
Kafiri ni yule alieukataa uislam. Muulize kisiri kisiri padri wako

Uislamu ukubaliwe kwa vigezo gani, muarabu akute watu na kubuni dini yake huko jangwani kisha muanze kulazimisha watu, wewe hapo hujiskii aibu kuvaa hizo dera/kanzu eti ufanane na muarabu.
 
Uislamu ukubaliwe kwa vigezo gani, muarabu akute watu na kubuni dini yake huko jangwani kisha muanze kulazimisha watu, wewe hapo hujiskii aibu kuvaa hizo dera/kanzu eti ufanane na muarabu.
Hujalazimishwa. Unatahadharishwa ukifa ukiwa sio muislam wewe basi utaenda kuunguzwa moto yaani maisha yako yote yatakuwa motoni.
Hapa jela unalia jee motoni vipi?
Uislam hakuhitaji wewe ndio unatakiwa uhiitaji Uislam
 
Gaidi la kiislamu mwisho wake mabikira??? Hehehe
Kafiri jifanye chizi. Ukifa ndio utajua kwanini ukawa kafiri. Sifa zako unazotaka upate jf zitakutokea puani. Pumzi ikikata tu
 
Gaidi la kiislamu mwisho wake mabikira??? Hehehe
Gaidi la kiislamu mwisho wake mabikira??? Hehehe
Neno kafir (Kafiri) hutumika kumaanisha mtu anayeukanusha Uislamu, anayeonesha kutoshukuru neema, anakuwa mbali, anakwepa na kufunika. Kama neno, linamaanisha mtu asiye na Imani.

Mtu anayekanusha Qur’an, Uislamu, na Hz. Muhammad anaitwa kafiri.
 
Kafiri jifanye chizi. Ukifa ndio utajua kwanini ukawa kafiri. Sifa zako unazotaka upate jf zitakutokea puani. Pumzi ikikata tu

Gaidi la kiislamu jiulize kwanini umefuata kwenda kuwa gaidi kwenye dini ya waarabu. Nani alikudanganya kuwa mungu wa waarabu ndiye , yule ni katili ambaye anasababisha mfe kwa kuwachonganisha na dunia.

Ndio maana mna maushetwani mengi...

screenshot_20231116-174917-png.2917122
 
Hamas ijajisalimishe? Huyo havai pampas ni kumpa mzayuni kipigo au kifo, hiyo ya kujisalimisha hakuna huo msamiani kwa hao wanaume.
 
Watu wali survive dhidi ya Hitler aliyefika Hadi mile 18 kutoka Kremlin unaenda kuwachokoza, are you serious?
Hiki ni kipimo sahihi kabisa kwa mtu anayewachokoza hawa jamaa....

Kama Hitler aliwashindwa, basi hakuna taifa lingine litawasumbua...

Kumbuka kipindi hicho Hitler alikuwa Super Power kwelikweli....
 
Back
Top Bottom