PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Hatuwezi kumaliza bando zetu Kwa clip za UJINGA kama hizi...huu ushamba wa kutengeneza watu feki mtaacha lini CCMTumia bando lako angalia hiyo video. Kama hutaki acha. Sikulazimishi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuwezi kumaliza bando zetu Kwa clip za UJINGA kama hizi...huu ushamba wa kutengeneza watu feki mtaacha lini CCMTumia bando lako angalia hiyo video. Kama hutaki acha. Sikulazimishi.
Mimi namsupport mgombea wao wa Urais kama mtanzania. Naomba kura yako mpigie Lissu.Hao ndiyo wenye saccos dada!!
Yaani mimi nimpigie msaliti Lissu?? Unafikiri na mimi sijitambui kama Wanasaccos? Pole sana!!Mimi namsupport mgombea wao wa Urais kama mtanzania. Naomba kura yako mpigie Lissu.
Mimi namsupport mgombea wao wa Urais kama mtanzania. Naomba kura yako mpigie Lissu.
Kwani Mbona Mbagala hata wagombea wake hawajajadiliwa !Waaache wanasaccos waparurane. Sky Eclat MKWEPA KODI Mwanahabari Huru Molemo jmushi1 Erythrocyte mnaitwa huku!!
Mbagala haikuwa imetangazwa... muwe mnasikiliza na kutazama kwanza kabla ya minenguo...Tunaongelea la CDM mbagala dada.
Kwani nani anakulazimisha?Hatuwezi kumaliza bando zetu Kwa clip za UJINGA kama hizi...huu ushamba wa kutengeneza watu feki mtaacha lini CCM
Nami nitampiga Tundu LissuTupo wengi mkuu
ningempigia kura ngosha ila tatizo lake ni mbaguzi sana, analazimisha nchi yetu kurudi mfumo wa kijima wa chama kimoko.Mtu mwenye akili timamu hawezi kumpigia kura lissu
Una uhakika! CCM orodha ya mwisho hutoka Dodoma, usiote ndoto hewaMakonda
Nadhani wapo na haki, la msingewaambia wawachekeche....hakuna free lunch....la mngemtangaza tu juu kwa juu
Mashi....jashikajaShidundufilu! msalimie Kipilingitya.[emoji1][emoji1][emoji1]
Wanasema hayo ni mambo ya chumbaniCHADEMA impitishe huyo jamaa kwani huyo Khadija wanayemtaka kamati kuu kawapa nini akina Mbowe?
Hii ni lugha gani mkuu?Mashi....jashikaja