Makamanda shime twendeni Muhambwe tukaipigie kampeni CCM kwa sasa inatufaa

Makamanda shime twendeni Muhambwe tukaipigie kampeni CCM kwa sasa inatufaa

Ni lini niliwahi kumuunga mkono mwanaccm yoyote? Dhalimu ndio amenifanya niichukue ccm mazima.
Kamanda mama sio dhalimu wala sio mwizi wa kura,pia hajawahi kuteka mtu tangu aingie madarakani.
 
Mkuu mbona hapa kila siku unasema baada ya dhalimu kufariki mambo sasa yako poa chini ya Samia!

Sasa kuna shida gani tukienda muhambwe kumuunga mkono kipenzi chetu Samia aliesawazisha mambo ya dhakimu wako?
Kamanda mwenzangu hajitambui kiakili. Ni wale makamanda wanaokariri mambo na kukaririshwa.
 
Sina popote ninapomsifia Samia zaidi ya kusema huyu mama sio dhalimu kama yule shetani. Huyu mama nitatoa tathmini yangu ya awali baada ya siku 100, huo ndio msimamo wangu. Kwangu uchaguzi chini ya tume hii ya uchaguzi, ni kuwa hakuna uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Kwa taarifa yako hata huo upuuzi wenyewe uitwao uchaguzi sifuatilii, maana napuuza sana uchaguzi wa Tanzania kwa sasa.
Siyo dhalimu kama shetani ndiyo!

Sasa huoni kama ni wakati wa kwenda kumuunga mkono?

Maana mambo yote baada ya shetani wako kuondoka ni super.
 
Sina popote ninapomsifia Samia zaidi ya kusema huyu mama sio dhalimu kama yule shetani. Huyu mama nitatoa tathmini yangu ya awali baada ya siku 100, huo ndio msimamo wangu. Kwangu uchaguzi chini ya tume hii ya uchaguzi, ni kuwa hakuna uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Kwa taarifa yako hata huo upuuzi wenyewe uitwao uchaguzi sifuatilii, maana napuuza sana uchaguzi wa Tanzania kwa sasa.
Profesa Asad alishasema hakuna uchaguzi ni madudu tupu
 
Makamanda wenzangu twendeni Muhambwe tukajazane majukwaani tuhakikishe CCM inashinda kwa kishindo kikuu.

CCM ya sasa imebadilika ndio tuliokuwa tunaitaka. CCM ya sasa inatoa uhuru wa kujieleza. CCM ya sasa haina watekaji. Haina mafisadi Hii ndio tuliokuwa tunaitaka.

Shime makamanda wa kike na kiume mkavae madila na mashati ya CCM na kuipigia Kampeni maana hii ya sasa ni bora kuliko hata CCM yetu.
Sawa kamanda usiechoka kwa hisani ya watu wa Lumumba!!
 
Kamanda mama sio dhalimu wala sio mwizi wa kura,pia hajawawi kuteka mtu tangu aingie madarakani.

Hata kama, lakini kwangu hicho chama cha ccm ni takataka kama takataka nyingine. Isitoshe mifumo ya uchaguzi ni Ile ile, huyo mama afanyie kazi hilo kama na yeye ni tofauti sana.
 
Makamanda wenzangu twendeni Muhambwe tukajazane majukwaani tuhakikishe CCM inashinda kwa kishindo kikuu.

CCM ya sasa imebadilika ndio tuliokuwa tunaitaka. CCM ya sasa inatoa uhuru wa kujieleza. CCM ya sasa haina watekaji. Haina mafisadi Hii ndio tuliokuwa tunaitaka.

Shime makamanda wa kike na kiume mkavae madila na mashati ya CCM na kuipigia Kampeni maana hii ya sasa ni bora kuliko hata CCM yetu.
Bado kidogo utaanza kutoa jicho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo dhalimu kama shetani ndiyo!

Sasa huoni kama ni wakati wa kwenda kumuunga mkono?

Maana mambo yote baada ya shetani wako kuondoka ni super.

Mama sio dhalimu wala shetani, hilo liko wazi, lakini mifumo ni ile ile iliyompa nafasi ibilisi kutekeleza uhayawani wake. Mifumo ya uchaguzi na katiba mpya zipatikane ili awe na uhalali wa kutaka kuungwa mkono.
 
Makamanda wenzangu twendeni Muhambwe tukajazane majukwaani tuhakikishe CCM inashinda kwa kishindo kikuu.

CCM ya sasa imebadilika ndio tuliokuwa tunaitaka. CCM ya sasa inatoa uhuru wa kujieleza. CCM ya sasa haina watekaji. Haina mafisadi Hii ndio tuliokuwa tunaitaka.

Shime makamanda wa kike na kiume mkavae madila na mashati ya CCM na kuipigia Kampeni maana hii ya sasa ni bora kuliko hata CCM yetu.

Utakuwa hujaelewa somo dalili za wazi za umburula. Tofautisha mama kuungwa mkono na CCM au mwendazake kuzodolewa:

IMG_20210510_071631_070.jpg


Muhambwe anagombea mama au CCM?

Habari ndiyo hiyo.
 
Makamanda wenzangu twendeni Muhambwe tukajazane majukwaani tuhakikishe CCM inashinda kwa kishindo kikuu.

CCM ya sasa imebadilika ndio tuliokuwa tunaitaka. CCM ya sasa inatoa uhuru wa kujieleza. CCM ya sasa haina watekaji. Haina mafisadi Hii ndio tuliokuwa tunaitaka.

Shime makamanda wa kike na kiume mkavae madila na mashati ya CCM na kuipigia Kampeni maana hii ya sasa ni bora kuliko hata CCM yetu.
"Tukaipigie ccm kampen Kwan ccm ya sasa ni bora kuliko ccm yetu" sasa HONGERA Mataga,naona njaa imeharibu akili
 
Makamanda wenzangu twendeni Muhambwe tukajazane majukwaani tuhakikishe CCM inashinda kwa kishindo kikuu.

CCM ya sasa imebadilika ndio tuliokuwa tunaitaka. CCM ya sasa inatoa uhuru wa kujieleza. CCM ya sasa haina watekaji. Haina mafisadi Hii ndio tuliokuwa tunaitaka.

Shime makamanda wa kike na kiume mkavae madila na mashati ya CCM na kuipigia Kampeni maana hii ya sasa ni bora kuliko hata CCM yetu.
Kila Rais anakausha pesa mifukoni,ccm tunakwama wapi
 
Back
Top Bottom