Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
- Thread starter
- #21
Kamanda mama sio dhalimu wala sio mwizi wa kura,pia hajawahi kuteka mtu tangu aingie madarakani.Ni lini niliwahi kumuunga mkono mwanaccm yoyote? Dhalimu ndio amenifanya niichukue ccm mazima.