Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
- Thread starter
-
- #21
Kamanda mama sio dhalimu wala sio mwizi wa kura,pia hajawahi kuteka mtu tangu aingie madarakani.Ni lini niliwahi kumuunga mkono mwanaccm yoyote? Dhalimu ndio amenifanya niichukue ccm mazima.
Kamanda mwenzangu hajitambui kiakili. Ni wale makamanda wanaokariri mambo na kukaririshwa.Mkuu mbona hapa kila siku unasema baada ya dhalimu kufariki mambo sasa yako poa chini ya Samia!
Sasa kuna shida gani tukienda muhambwe kumuunga mkono kipenzi chetu Samia aliesawazisha mambo ya dhakimu wako?
Kwani mataga na mazaga kazi yenu ni nini hasa?[emoji23][emoji23][emoji23]Hamtaki kwenda kumuunga mkono mama?
Kwani sasa hivi bavicha wote mmeungana na uvccm kumdemkia mama au?Kwani mataga na mazaga kazi yenu ni nini hasa?
Siyo dhalimu kama shetani ndiyo!Sina popote ninapomsifia Samia zaidi ya kusema huyu mama sio dhalimu kama yule shetani. Huyu mama nitatoa tathmini yangu ya awali baada ya siku 100, huo ndio msimamo wangu. Kwangu uchaguzi chini ya tume hii ya uchaguzi, ni kuwa hakuna uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Kwa taarifa yako hata huo upuuzi wenyewe uitwao uchaguzi sifuatilii, maana napuuza sana uchaguzi wa Tanzania kwa sasa.
Aende yeye na maza akeMataga mkubwa wewe
Na NEC wamepiga kambi hukoHamuhitaji kampeni nyie wezi, tulieni polisi wapo watawasaidia mchukue jimbo mapema tu....
Profesa Asad alishasema hakuna uchaguzi ni madudu tupuSina popote ninapomsifia Samia zaidi ya kusema huyu mama sio dhalimu kama yule shetani. Huyu mama nitatoa tathmini yangu ya awali baada ya siku 100, huo ndio msimamo wangu. Kwangu uchaguzi chini ya tume hii ya uchaguzi, ni kuwa hakuna uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Kwa taarifa yako hata huo upuuzi wenyewe uitwao uchaguzi sifuatilii, maana napuuza sana uchaguzi wa Tanzania kwa sasa.
Sawa kamanda usiechoka kwa hisani ya watu wa Lumumba!!Makamanda wenzangu twendeni Muhambwe tukajazane majukwaani tuhakikishe CCM inashinda kwa kishindo kikuu.
CCM ya sasa imebadilika ndio tuliokuwa tunaitaka. CCM ya sasa inatoa uhuru wa kujieleza. CCM ya sasa haina watekaji. Haina mafisadi Hii ndio tuliokuwa tunaitaka.
Shime makamanda wa kike na kiume mkavae madila na mashati ya CCM na kuipigia Kampeni maana hii ya sasa ni bora kuliko hata CCM yetu.
Kamanda mama sio dhalimu wala sio mwizi wa kura,pia hajawawi kuteka mtu tangu aingie madarakani.
Bado kidogo utaanza kutoa jichoMakamanda wenzangu twendeni Muhambwe tukajazane majukwaani tuhakikishe CCM inashinda kwa kishindo kikuu.
CCM ya sasa imebadilika ndio tuliokuwa tunaitaka. CCM ya sasa inatoa uhuru wa kujieleza. CCM ya sasa haina watekaji. Haina mafisadi Hii ndio tuliokuwa tunaitaka.
Shime makamanda wa kike na kiume mkavae madila na mashati ya CCM na kuipigia Kampeni maana hii ya sasa ni bora kuliko hata CCM yetu.
Siyo dhalimu kama shetani ndiyo!
Sasa huoni kama ni wakati wa kwenda kumuunga mkono?
Maana mambo yote baada ya shetani wako kuondoka ni super.
Na Mahela yupo huko?Na NEC wamepiga kamb
Na Mahela yupo huko?Na NEC wamepiga kamb
Makamanda wenzangu twendeni Muhambwe tukajazane majukwaani tuhakikishe CCM inashinda kwa kishindo kikuu.
CCM ya sasa imebadilika ndio tuliokuwa tunaitaka. CCM ya sasa inatoa uhuru wa kujieleza. CCM ya sasa haina watekaji. Haina mafisadi Hii ndio tuliokuwa tunaitaka.
Shime makamanda wa kike na kiume mkavae madila na mashati ya CCM na kuipigia Kampeni maana hii ya sasa ni bora kuliko hata CCM yetu.
"Tukaipigie ccm kampen Kwan ccm ya sasa ni bora kuliko ccm yetu" sasa HONGERA Mataga,naona njaa imeharibu akiliMakamanda wenzangu twendeni Muhambwe tukajazane majukwaani tuhakikishe CCM inashinda kwa kishindo kikuu.
CCM ya sasa imebadilika ndio tuliokuwa tunaitaka. CCM ya sasa inatoa uhuru wa kujieleza. CCM ya sasa haina watekaji. Haina mafisadi Hii ndio tuliokuwa tunaitaka.
Shime makamanda wa kike na kiume mkavae madila na mashati ya CCM na kuipigia Kampeni maana hii ya sasa ni bora kuliko hata CCM yetu.
Kila Rais anakausha pesa mifukoni,ccm tunakwama wapiMakamanda wenzangu twendeni Muhambwe tukajazane majukwaani tuhakikishe CCM inashinda kwa kishindo kikuu.
CCM ya sasa imebadilika ndio tuliokuwa tunaitaka. CCM ya sasa inatoa uhuru wa kujieleza. CCM ya sasa haina watekaji. Haina mafisadi Hii ndio tuliokuwa tunaitaka.
Shime makamanda wa kike na kiume mkavae madila na mashati ya CCM na kuipigia Kampeni maana hii ya sasa ni bora kuliko hata CCM yetu.
Sio kamanda huyo makamanda hawako hivoKamanda tuheshimiane.
Mkuu nimecheka sana da jf raha Sana kwamba mataga mdogo na mkubwa😃😀Mataga mkubwa wewe