Makamanda tunayo ya kujifunza kwa Raila Odinga

Makamanda tunayo ya kujifunza kwa Raila Odinga

The difference.

Risasi za moto (live bullets) zilipigwa kwenye hayo maandamano kama ilivyokuwa kwa Akwilina na Sheikh Ponda na assassination attempt ya Lissu? Kama hatuoni ujasiri kwenye hayo yanayotokea kwetu basi ujinga, unafiki na roho mbaya ndiyo jadi ya wengi wetu.

Nchi ina mazingira ya kisiasa ya ovyo sana, halafu wengi tunasherehekea tu na kuwakebehi wanaojitahidi kupambana kuyarekebisha. Eti watangulize familia na watoto wao wavunjwe miguu! Halafu tunalalamikia utawala mbaya na kuwashambulia wapinzani badala ya watawala kwa hali hiyo. Pathetic!

Mkuu wanaokebehi wana majina yao:

"Hatuna haja ya kupoteza muda na vijana wa hovyo."

Hawana mchango wowote kwa taifa hili.

Hao ni mzigo. Hata Kwa Odinga wapo wengine ni walamba asali kama kina Gachagua.
 
Raila ni mroho wa madaraka. Pamoja na kwamba nawaunga mkono Wapinzani lakini hawataki WI kufanya the Raila way. Raila kapoteza uchaguzi, akaenda mahakamani akapoteza. Sasa seven months after ndiyo anamobilize watu kwa gia ya maisha magumu... This is not right.

Wewe ni nani kuwasemea hayo wakenya?



Kwamba wewe ni mjuaji kuliko hawa.

Hivi hata kujihurumia wenyewe hakuna? Si ndiyo maana Yesu akasema msinililie miye bali mjililie wenyewe?

Zingatia hoja mojawapo pale:

8. Raila au wakenya katika Mapambano si wajinga wanayo hoja na wanakijua wanachokipigania.
 
Mtoto wa Mbowe anaitwa Dudley. Yeye utazama maandamano kupitia YouTube channel akiwa Dubai. Kisha anatoa inputs nini kiboreshwe na baba yake wakati huo hana hata fungu la panadol.
Mtoto wa odinga umemuona hapo au kwakuwa mnaupumbavu wa sukuma gang, by the way mbowe hawez kupigania wapumbavu wa sukuma gang.
 
The difference.

Risasi za moto (live bullets) zilipigwa kwenye hayo maandamano kama ilivyokuwa kwa Akwilina na Sheikh Ponda na assassination attempt ya Lissu? Kama hatuoni ujasiri kwenye hayo yanayotokea kwetu basi ujinga, unafiki na roho mbaya ndiyo jadi ya wengi wetu.

Nchi ina mazingira ya kisiasa ya ovyo sana, halafu wengi tunasherehekea tu na kuwakebehi wanaojitahidi kupambana kuyarekebisha. Eti watangulize familia na watoto wao wavunjwe miguu! Halafu tunalalamikia utawala mbaya na kuwashambulia wapinzani badala ya watawala kwa hali hiyo. Pathetic!
Ndio maana nimeyaambia humu several times kuwa mbowe na lissu hawawez kuendelea kupambania mapumbavu ya tanzania kama yanafikir maisha ni magumu yaandamane yenyewe na mamazao nyumban kwao kama ambavyo huwaambia kina mbowe na lissu waandamane na watoto wao.
 
Niliacha kutumia nguvu 2015 palee biafra
Wenye nchi walikuja kukwala matokeo vimbele mbele sie tukajifanya wafata mkumbo et! Wazee wasiondoke na matokeo , ilikuwa mshike mshike hatari palee biafra

Zilipigwa njugu live na sio kupigwa juu unalengwa yaani live live bila chenga, wapo waliokamatwa palee wakaenda nyea debe, kuna jamaa alikanyangwa mguu na baada ya matibabu kushindikana jamaa alienda kukatwa mguu- kama kuna mtu ana kumbuka ataikumbuka hii

Mimi kuna asikari mmoja alinikimbiza yaani aliniungia mpaka kwenye kona ya chuo kikuu huria kutoka shule ya biafra , aliniacha kwenye ilee kona ya chuo kikuu huria yaani sikurudi tena wallah nilipofika magheton nikachota maji bombani nikaoga nikaenda kulala moja Kwa moja yaani
Matokeo ya misuko suko ya wengine nilisikia kesho yake

Na nna huhakika kuna watu wanalamba asali kwenye hizi inshu sisi vimbele mbele tutaenda jiuguza baada ya kujitia kimbele mbele- sitaki kabsa mambo ya kutumia nguvu na vyombo vya dola other ways kuna kitu napata.’

Jamaa aliyokatwa mguu yupo tu aangaliwi na yeyote yaani imemgharimu kizembe tu, maisha hayaa daaah nachukia siasa kinoma noma sitaki kusikia chama chochote kilee

😅😅😂😂😂😅😅

Aiseee weee wacha tu.....ndugu yangu nimecheka lakini siyo ya kuchekesha .
Pole sana. Duh
 
Niliacha kutumia nguvu 2015 palee biafra
Wenye nchi walikuja kukwala matokeo vimbele mbele sie tukajifanya wafata mkumbo et! Wazee wasiondoke na matokeo , ilikuwa mshike mshike hatari palee biafra

Zilipigwa njugu live na sio kupigwa juu unalengwa yaani live live bila chenga, wapo waliokamatwa palee wakaenda nyea debe, kuna jamaa alikanyangwa mguu na baada ya matibabu kushindikana jamaa alienda kukatwa mguu- kama kuna mtu ana kumbuka ataikumbuka hii

Mimi kuna asikari mmoja alinikimbiza yaani aliniungia mpaka kwenye kona ya chuo kikuu huria kutoka shule ya biafra , aliniacha kwenye ilee kona ya chuo kikuu huria yaani sikurudi tena wallah nilipofika magheton nikachota maji bombani nikaoga nikaenda kulala moja Kwa moja yaani
Matokeo ya misuko suko ya wengine nilisikia kesho yake

Na nna huhakika kuna watu wanalamba asali kwenye hizi inshu sisi vimbele mbele tutaenda jiuguza baada ya kujitia kimbele mbele- sitaki kabsa mambo ya kutumia nguvu na vyombo vya dola other ways kuna kitu napata.’

Jamaa aliyokatwa mguu yupo tu aangaliwi na yeyote yaani imemgharimu kizembe tu, maisha hayaa daaah nachukia siasa kinoma noma sitaki kusikia chama chochote kilee

Ndugu kwenye orodha:

7. Kwenye maandamano huwa casualties hawakosekani na anaweza kuwa awaye yote.

Maseno University student shot dead during anti-government protests

Kwa mawazo duni kama yako nchi hii isingepata uhuru.

Zingatia tunafahamu uwepo wa walamba asali, msoga boys na hata vijana wa hivyo. Tutegemee nasaha gani kutoka kwa magenge hayo?

"Hatuna haja ya kupoteza muda na vijana wa hovyo."

Tunamaanisha.
 
Chezeeni Serikali na Dola zake.....isitoshe karibia kila uzi majivu yenu ni kudai kuwa akwilina alifanyiwa uovu. Mnalia kila siku....
Sasa mnataka Kina Akwilina wengine kwa sababu zenu binafsi.

R.I.P Akwilina
Hawa watu ovyo kbs yaani
 
Mkuu yanakuchekesha haya?
Nimesema nimecheka jinsi alivyohadithia, ndio inachekesha. Lakini vilevile nimesema Jambo hilo silo la kuchekesha....we chagua litakalo kupendeza, mie najua kilicho toka rohoni mwangu na nina amani tele.

Asante kwa taarifa Braza J
 
Raila kaitisha maandamano yasiyokuwa na ukomo kuikomboa Kenya. Malengo yake hayana tofauti na yetu makamanda.

Uwanja wa mapambano Kenya na wetu uko sawa sawa. Sisi tunakwama hapa:

1. Raila anapigana vita hii kama mkenya, siyo kama ODM au Azimio la Umoja.
2. Raila anatumia lugha rafiki akiwaunganisha wakenya kutokea katika magumu yanayowagusa wote.
3. Raila hawanyooshei vidole Kenya Kwanza, mtu au chama chochote bali William Ruto.
4. Raila haondoki alipo kuelekea kwenye maandamano bila kuzungukwa na nyomi ya haja.
5. Raila hahangaiki na wasaliti au vijana wale wa hovyo.
6. Raila amewaandaa watu kufahamu kwenye mapambano kama haya: kukamatwa, kujeruhiwa au hata kufa kumo na hakuna mwenyewe.
7. Raila anapigana huku akiongea pia, ndiyo maana shughuli hii ni ya jumatatu Kwa jumatatu, Hadi kieleweke.
8. Raila yuko wazi mapambano yake ni ya amani.
9. Nk.

FrqSnMzWwAIrwYV.jpeg


Makamanda tuendelee Kuongezea nyama ushindi ni hakika.

FroxCXHX0AAHIzk.jpeg


Tupigane tukiongea kitaeleweka tu:

FrqctdLXwAAuQ17.jpeg


Shikamoo Raila Amolo Odinga.
 
Acha kufananisha the king Raila na vitu vya kijinga mkuu

Ushauri wa muhimu sana kwa makamanda ni huu hapa:

5. Raila hahangaiki na wasaliti au vijana wale wa hovyo.

Unaoonekana kukuhusu moja kwa moja
 
Subirini matunda mle. Kwani lini yakipatikana huwa hamtokei kudai kumwuunga mkono Mama Kwa mnachoitaga kuwa ni ridhaa yake?

View attachment 2559517
Ukabila mtupu. Hapo "lafudhi" ni akina Okech, Odongo, onyau tupu. Kwetu tunabahati ukianzisha timbwili la kichaga dhidi ya wasukuma utakuta wanawake wa kichaga wameolewa usukumani na ma uncle kibaooo. Utatangqza ukuta watu wanakuangalia tu. Kwa hivyo mzee Nyerere alifanya jambo kubwa sana kutuunganisha watanzania. Hawa jamaa hawaendi hata hata kwenye bar, restaurant hata mabasi hawapandi ya kabila pinzani. Hii mbegu huwa haifi.
 
WAAFRICA ni WAJINGA sana.

Mimi kwangu kuandamana ni UPUMBAVU wa Hali ya JUU.

KWANINI USIKAE MEZA MOJA NA UONGOZI MKAMALIZA TOFAUTI???

naamini sana Meza ya mazungumzo.
Kama nyote mkiwa na nia Thabiti bila janja janja mazungumzo ni njia bora kabisa kabisa !! Maana hata Uhuru wa Nchi hii ulipatikana kwa njia ya mazungumzo tu !! It can be done ✔️ But no janja janja !!
 
Back
Top Bottom