- Thread starter
- #101
Hata Ruto na Gachagua walidhani hivyo 🤣🤣.Makamanda gani? Hawa wa kukimbilia ughaibuni kisa Gwajima kasema neno?
Hakuna makamanda hapa Tz.
Umewasikia sasa hivi wanasema je?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Ruto na Gachagua walidhani hivyo 🤣🤣.Makamanda gani? Hawa wa kukimbilia ughaibuni kisa Gwajima kasema neno?
Hakuna makamanda hapa Tz.
Kwani wewe ni wale vijana wa hovyo msioyna mchango wowote kwa mustakabali wa taifa hili?Dawa yenu picha ya jiwe tu tutaiweka kila sehem
Chuma alikuwa anaongea mara moja tu. Waganga njaa wa Chadema wanatii bila shurti ni kauli moja tu 😂😂😂Yeye chuma alikuwa mbele na familia yake kuzuia hayo maandamano?
Terrible, polisi wamekimbia!
Nina Uhakika,na Sidhani Tundu Lissu au Aikael Mbowe wanaweza kukubaliana na wewe.Bila machafuko hatutapata mabadiliko tutakayo. Huu utapeli wa maridhiano ni kupotezeana muda.
Chuma alikuwa anaongea mara moja tu. Waganga njaa wa Chadema wanatii bila shurti ni kauli moja tu 😂😂😂
Ukombozi sio lele mama unataka asali alafu unaigiza mwana harakati.
Acha niwe sina akili ila kutumika na mwanasiasa njaa njaa hell no. Si unajua Lissu watoto wake kawachukulia uraia Marekani wewe anakwambia umwage damu kwa ajili ya nchi yako na bado unajiona smart 😅
Yani Chuma aache kujenga mareli na madaraja aende kupambana na wakoswa akili wwnaokimbia juani eti kutafuta ukombozi ?! Chuma sio boya yeye alikuwa anatoa kauli ukileta ukamanda unapumua pumzi ya motoYeye chuma aliwahi kujitokeza mbele kupambana na waandamanaji ili tuone huo uchuma wake?
Nina Uhakika,na Sidhani Tundu Lissu au Aikael Mbowe wanaweza kukubaliana na wewe.
Isitoshe, kati ya Nchi kubwa ambazo zimefanya kumwagia mabakuli yetu Asali bwerere [na ruzuku zimo humo]hazita acha hayo yatokee! Na huo ndio Ukweli
Hawakuweza nyakati ya Hayati-kwa sababu ya umakini mkubwa wa vyombo vya usalama.
Na Hawataweza nyakati hizi-kwa sababu kuna hitajika usalama wa hali ya juuu kurudisha Investments.
Kawadanganye 'wana kimbari wenzako huko.
Maridhiano ni ya Mabosi wako.
Wapo wachache....wamepewa jina Covid-19Makamanda gani? Hawa wa kukimbilia ughaibuni kisa Gwajima kasema neno?
Hakuna makamanda hapa Tz.
Uwezi kupambana ukiwa na njaa. Chadema njaa ndio adui yenu mkubwa kuliko CCMKwani hatuwezi kupambana Huku tukiongea? Mnaishi dunia ipi msiokuwa na habari na sanaa ya vita?
Watoto wake mpaka sasa wako nje ya nchi wakifuatilia maandamano kupitia kwenye TV.
Yeye alikuwa wapi wakati anatangaza hilo?😀Baada ya uchaguzi wa 2020,
Siku hiyo ilikuwa jumamosi Lisu akawaambiwa machadema kwamba andamaneni nchi nzima kuanzia jumatatu yake kupinga matokeo!
Jumatatu ilipofika watu wakaendelea na mishe zao hakuna hata mbuzi aliejitokeza kuandamana,
Alipohojiwa na DW kwamba kwanini watu hawajaitikia wito wa maandamano na migomo ulioitisha? Akajibu kinyonge sana eti "nmegundua watz hawako tayari kwa manadariko"
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa wanapambana Kwa sababu ya njaa:Uwezi kupambana ukiwa na njaa. Chadema njaa ndio adui yenu mkubwa kuliko CCM