Makamanda tunayo ya kujifunza kwa Raila Odinga

Makamanda tunayo ya kujifunza kwa Raila Odinga

Kwa hiyo wewe umekaza au umelegeza? Kwamba wewe hii inakuhusu au ni Kwa wengine tu?

Zingatia maana ya vijana wa hovyo mkuu 🤣🤣.
Sina muda wa kuchezea. Maisha yangu hayaitaji mwanasiasa kuwa mazuri au mabaya. Najielewa sana.
 
Mambo ya kumsifia Magufuli kwa ubabe na ukatili yaache maana ameshakufa..utasababisha marehemu atukanwe
Magufuli anatukanwa. Nyerere anatukanwa. Yesu anatukanwa. Mungu anatukanwa. Mimi siwezi mzuia mtu kutukana. Ila magu ni bad news waulize hao matapeli wa kisiasa walivyokuwa wanajamba cheche.
 
Sina muda wa kuchezea. Maisha yangu hayaitaji mwanasiasa kuwa mazuri au mabaya. Najielewa sana.

Kila mtu anajielewa mjomba. Au wewe ulidhani kujielewa Kuna hati miliki na mwenye nayo ni wewe tu? Ukadhani pia asiye na muda wa kuchezea naye ni wewe tu? Hivi si ni vituko vya mwaka ndugu?
 
nobody notices the difference [emoji23]!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
the difference is clear and very visible, anyone can see it through your post. that's why "huna akili" reflect you so well.
 
Raila hatatoboa braza, anahangaika tu ili aendelee kuwa relevant,,
Binafsi nilitaka sana Raila ashinde, kama kura hazitoshi awe mpole

Yabidi kuwa angalau malaika kusema kwa utimilifu hivi. Wenye nchi wananchi.

Itunze post yako hii twaweza kumbushana panapo majaliwa.
 
Yabidi kuwa angalau malaika kusema kwa utimilifu hivi. Wenye nchi wananchi.

Itunze post yako hii twaweza kumbushana panapo majaliwa.
Mimi sijui labda ni mbashiri, nakumbuka 2011 humuhumu ilupianza ishu ya arab spring syria, tulibishana miaka 10,, hawa wanasema Assad lazima ang'oke, Bush anasema lazina assad ang'oke, Tonny blair, etc,
Nilisema Assad haondoki yupo yupo sana, miaka 12 mbele assad hajang'oka,
Tukabishana miaka 7 kuhusu Lowasa, nikasema lowasa sio fisadi na kwamba Richmond scandal ni majungu ya kisiasa, tulibishana humu miaka 7,mwishowe hao hao waliodai lowasa fisadi wakamteua agombee urais.. 😅
 
the difference is clear and very visible, anyone can see it through your post. that's why "huna akili" reflect you so well.
😛😂😂😃😂
😌😌
Una posti pale Ufipa. Nyie chezeeni Dola Na Serikali muone....kama ndio Akili hizo.
 
Tanzania imejaa wapumbavu wengi ambao huambiwa na wapuuz kuwa bodaboda ni kaz nzuri na wao kuamin huku watoto wa hao wanaowambia hawajawahi hata kuendesha pikipiki na lema kasema watoto wao waendeshe bodaboda ndio ataamin kuwa ni kaz nzuri badala yake wajinga wanasema lema kawatukana kisa wamejazwa ujinga kichwani
NB, Watoto wa kitila Mkumbo na Madelu wanafanya kaz BOT na TPDC.
Mkumbuke Police wa Kenya kikiwemo kikosi maalum kinachofanya multi tasks za kiusalama nchini Kenya cha GSU ni waungwana na wanajali utu na wana hofu ya Mungu kwa hilo .Kwani
kwa nilichoshuhudia kwenye maandamano ya jana huko Kenya ingekuwa Tz hii tena enzi zile za jiwe watu wangekufa kama kumbikumbi.
 
😛😂😂😃😂
😌😌
Una posti pale Ufipa. Nyie chezeeni Dola Na Serikali muone....kama ndio Akili hizo.
Mwenye nchi mwana nchi hukuwaona vibaka kwenye kujinusuru?

FrqRMejWcAM_Etm.jpeg
 
Mimi sijui labda ni mbashiri, nakumbuka 2011 humuhumu ilupianza ishu ya arab spring syria, tulibishana miaka 10,, hawa wanasema Assad lazima ang'oke, Bush anasema lazina assad ang'oke, Tonny blair, etc,
Nilisema Assad haondoki yupo yupo sana, miaka 12 mbele assad hajang'oka,
Tukabishana miaka 7 kuhusu Lowasa, nikasema lowasa sio fisadi na kwamba Richmond scandal ni majungu ya kisiasa, tulibishana humu miaka 7,mwishowe hao hao waliodai lowasa fisadi wakamteua agombee urais.. 😅

Tusiandikie mate tunza Posts zako inshallah tutakumbushana.
 
San Diego police arrested 35 protesters Friday outside a rally after a peaceful demonstration devolved into chaos, according to police.

636000256941409262-AP-APTOPIX-GOP-2016-Trump.jpg
 
Back
Top Bottom