Makamanda wa Chadema fuatilieni yanayoendelea Kenya siku ya Leo kuanzia saa 6:00 mchana Maandamo yatakapoanza!

Najua Chadema kwa sasa harakati zenu zinatumia Maandamo kama njia ya kuishinikiza serikali

Fuatilieni kinachoendelea Kenya kuanzia muda huu mtajifunza mambo mbalimbali

Ahsanteni ๐Ÿผ
Hao mara nyingi kama sio zote Huwa ni makamanda wa Twitter na keyboard warriors ,huwezi wakuta front ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ