Makamanda wa Marekani na Israeli wakutana Tel Aviv kupanga namna ya kujibu kisasi kwa Iran. Iran yawaambia inawasubiri.

Makamanda wa Marekani na Israeli wakutana Tel Aviv kupanga namna ya kujibu kisasi kwa Iran. Iran yawaambia inawasubiri.

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
12,835
Reaction score
23,584
Hivi Leo mkuu wa kamandi ya kijeshi CENTCOM inayo operate katika maeneo ya mashariki ya Kati Gen .mike kurilla amekutana na viongozi wa kijeshi wa ngazi ya juu wa Israel katika kikao huko Tel Aviv ili kuisaidia Israel kupanga namna ya kulipa kisasi kwa Iran baada ya shambulio baya la Oktober 1 ambalo limeishtua Israel na ulimwengu kwa ujumla.
Inasemekana Israel kwa kushirikiana na marekani wanapanga kushambulia Iran wakati wowote baada ya jaribio la Jana kushindikana kwa ndege 4 za marekani F- 35 zilizoripotiwa kukaribia ghuba ya uajemi na taarifa hizo kuripotiwa na Urusi kwa Iran hatimae ndege hizo kugeuza na kurudi zilipotoka.

Iran kwa upande wake amerejea kauli yake kuwa anasubiri waje halafu baada ya hapo na yeye atalipa kisasi kwa nguvu zaidi.

Tuendelee kuomba amani Kuna uwezekano mashariki ya kati pakageuka uwanja wa vita ya Dunia ya 3.
Screenshot_20241005-200316.png
 
Duh wamalizane kwanza na Hezbollah kwanza kabla ya Iraan
Kiwewe cha Oktoba 1 kinaitesa Israel unajua Netanyahu kisaikolojia ni mtu asiyependa kushindwa Wala kuaibishwa kwa namna yeyote maana alishajitapa kuwa yeye pale Middle East ndio mwenye sharubu kwahiyo kile kipigo cha jumanne mpaka sasa presha yake ipo juu ni kwamba tu sasa mtu mwenyewe ni Iran lazima aombe msaada huku na huku na kujipanga ili ionekana amefanya kitu kujibu hata kama jaribio likifeli potelea mbali
 
Duh wamalizane kwanza na Hezbollah kwanza kabla ya Iraan
Kwa upande wa Hezbollah bado wanamenyana vilivyo ila kwa hapo Iran mmh! Nadhani hao wakubwa wamekutana ili kufanya "moderation" kwamba katika kile alichokuwa amepanga Israeli ni vitu gani viondolewe i.e. visifanyike kama alivyodokeza mzee Biden hapo awali e.g. Israeli asipige vinu vya nuclear n.k. au ni nini cha kufanya kama nyongeza ili Iran isijerudia tena mchezo ule wa tar. 1 oktoba 2024 - Tumwombe Mungu aepushe WW3.
 
Kwa upande wa Hezbollah bado wanamenyana vilivyo ila kwa hapo Iran mmh! Nadhani hao wakubwa wamekutana ili kufanya "moderation" kwamba katika kile alichokuwa amepanga Israeli ni vitu gani viondolewe i.e. visifanyike kama alivyodokeza mzee Biden hapo awali e.g. Israeli asipige vinu vya nuclear n.k. au ni nini cha kufanya kama nyongeza ili Iran isijerudia tena mchezo ule wa tar. 1 oktoba 2024 - Tumwombe Mungu aepushe WW3.
Tunapoelekea hii vita itasambaa mashariki yote ya kati wasipokua makini maana Israel akipiga Iran atarudisha na ndio utakua mchezo unadhani kitafuata Nini hapo .
 
Hivi Leo mkuu wa kamandi ya kijeshi CENTCOM inayo operate katika maeneo ya mashariki ya Kati Gen .mike kurilla amekutana na viongozi wa kijeshi wa ngazi ya juu wa Israel katika kikao huko Tel Aviv ili kuisaidia Israel kupanga namna ya kulipa kisasi kwa Iran baada ya shambulio baya la Oktober 1 ambalo limeishtua Israel na ulimwengu kwa ujumla.
Inasemekana Israel kwa kushirikiana na marekani wanapanga kushambulia Iran wakati wowote baada ya jaribio la Jana kushindikana kwa ndege 4 za marekani F- 35 zilizoripotiwa kukaribia ghuba ya uajemi na taarifa hizo kuripotiwa na Urusi kwa Iran hatimae ndege hizo kugeuza na kurudi zilipotoka.

Iran kwa upande wake amerejea kauli yake kuwa anasubiri waje halafu baada ya hapo na yeye atalipa kisasi kwa nguvu zaidi.

Tuendelee kuomba amani Kuna uwezekano mashariki ya kati pakageuka uwanja wa vita ya Dunia ya 3.
View attachment 3116240
Not a reliable source to trust
 
Hivi Leo mkuu wa kamandi ya kijeshi CENTCOM inayo operate katika maeneo ya mashariki ya Kati Gen .mike kurilla amekutana na viongozi wa kijeshi wa ngazi ya juu wa Israel katika kikao huko Tel Aviv ili kuisaidia Israel kupanga namna ya kulipa kisasi kwa Iran baada ya shambulio baya la Oktober 1 ambalo limeishtua Israel na ulimwengu kwa ujumla.
Inasemekana Israel kwa kushirikiana na marekani wanapanga kushambulia Iran wakati wowote baada ya jaribio la Jana kushindikana kwa ndege 4 za marekani F- 35 zilizoripotiwa kukaribia ghuba ya uajemi na taarifa hizo kuripotiwa na Urusi kwa Iran hatimae ndege hizo kugeuza na kurudi zilipotoka.

Iran kwa upande wake amerejea kauli yake kuwa anasubiri waje halafu baada ya hapo na yeye atalipa kisasi kwa nguvu zaidi.

Tuendelee kuomba amani Kuna uwezekano mashariki ya kati pakageuka uwanja wa vita ya Dunia ya 3.
View attachment 3116240
Hiyo vita ni ya pande mbili za nchi za magharibi...NATO NA SOVIERT UNION
 
Hivi Leo mkuu wa kamandi ya kijeshi CENTCOM inayo operate katika maeneo ya mashariki ya Kati Gen .mike kurilla amekutana na viongozi wa kijeshi wa ngazi ya juu wa Israel katika kikao huko Tel Aviv ili kuisaidia Israel kupanga namna ya kulipa kisasi kwa Iran baada ya shambulio baya la Oktober 1 ambalo limeishtua Israel na ulimwengu kwa ujumla.
Inasemekana Israel kwa kushirikiana na marekani wanapanga kushambulia Iran wakati wowote baada ya jaribio la Jana kushindikana kwa ndege 4 za marekani F- 35 zilizoripotiwa kukaribia ghuba ya uajemi na taarifa hizo kuripotiwa na Urusi kwa Iran hatimae ndege hizo kugeuza na kurudi zilipotoka.

Iran kwa upande wake amerejea kauli yake kuwa anasubiri waje halafu baada ya hapo na yeye atalipa kisasi kwa nguvu zaidi.

Tuendelee kuomba amani Kuna uwezekano mashariki ya kati pakageuka uwanja wa vita ya Dunia ya 3.
View attachment 3116240
Halafu wakiristo wa jf wa Mbagala mbwa kachoka wanadai Isreal inaendesha vita bila ya USA
 
Kiwewe cha Oktoba 1 kinaitesa Israel unajua Netanyahu kisaikolojia ni mtu asiyependa kushindwa Wala kuaibishwa kwa namna yeyote maana alishajitapa kuwa yeye pale Middle East ndio mwenye sharubu kwahiyo kile kipigo cha jumanne mpaka sasa presha yake ipo juu ni kwamba tu sasa mtu mwenyewe ni Iran lazima aombe msaada huku na huku na kujipanga ili ionekana amefanya kitu kujibu hata kama jaribio likifeli potelea mbali
Katika watu wanaoweza kufa kwa pressure nitenyahu na yule Ben gavir ..kila wakiangalia zile clip wanapata usingizi wa maru .maru
 
Iran ndio nchi pekee inayo ufadhiri ugaidi duniani.
Naipenda Iran na wananchi wake.
Kuivunja Iran ni kuiweka Dunia pahali salama.
Magaidia wanao tuuwa watu wote wakiwa na ndugu zangu Waislamu safi ni Iran.
Adui wa Dunia sasa hivi ni Iran.
Tuungane kuwakomboa watu wazuri wa Iran.
 
Back
Top Bottom