Makamanda walioigharimia CHADEMA kwa machozi, jasho na damu, leo ni wakuitwa wasaliti? Karma Haitawaacha salama, itawatandika tu

Acha kuipaka Chadema matope wewe kada wa Ccm.
 
Hapa nilizungumzia karma kuitandika Chadema. Tunasubiria kwa hamu tamko la Mwenyekiti Mbowe kesho saa 5, asubuhi, akiamua kutetea kiti chake, then mtashuhudia karmic effects kusambaratika kwa Chadema zikianza.

Kuna wakati Mungu anapanga mambo mazuri, kama kumuokoa Lissu na hatari ya kifo kwasababu amemuanda kuja kuwa rais wa Tanzania 2025 kupitia Chadema, lakini shetani akawa hataki, hivyo shetani atamuingia Mbowe, kumfanya moyo wake uwe mgumu, aamue kuitetea nafaso yake. Hapo sasa ndipo mtafunguka macho jinsi bakora za karma zitakavyo itandika Chadema na kuisambaratisha!.
Tusubirie kesho saa 5 asubuhi.
P
 
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…