Makamanda wenzangu mlipoanza kusifia kuwa mama anaupiga mwingi nikajua mnalitia tembo maji.

Makamanda wenzangu mlipoanza kusifia kuwa mama anaupiga mwingi nikajua mnalitia tembo maji.

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Kwa kweli kama kuchenjiwa na serikali tumechenjiwa.

Maana haijawahi kutokea kwenye historia ya taifa letu Chadema na watanzania kupata harassment ya namna hii.

Tukiandamana tunapewa kibano, tukifanya makongamano tunapewa kibano, tukifanya jogging tunapewa kibano. Kwa namna hii tuna wakati mgumu kisiasa kuliko nyakati yoyote ya utawawala wa CCM.

My take; tulisifia mapema sana.
 
Kwa kweli kama kuchenjiwa na serikali tumechenjiwa.

Maana haijawahi kutokea kwenye historia ya taifa letu Chadema na watanzania kupata harassment ya namna hii.

Tukiandamana tunapewa kibano, tukifanya makongamano tunapewa kibano, tukifanya jogging tunapewa kibano. Kwa namna hii tuna wakati mgumu kisiasa kuliko nyakati yoyote ya utawawala wa CCM.

My take; tulisifia mapema sana.
Hahahahahahahaha....
 
Kwa kweli kama kuchenjiwa na serikali tumechenjiwa.

Maana haijawahi kutokea kwenye historia ya taifa letu Chadema na watanzania kupata harassment ya namna hii.

Tukiandamana tunapewa kibano, tukifanya makongamano tunapewa kibano, tukifanya jogging tunapewa kibano. Kwa namna hii tuna wakati mgumu kisiasa kuliko nyakati yoyote ya utawawala wa CCM.

My take; tulisifia mapema sana.

Njiwa ulifikisha salamu?

IMG_20210930_170832_807.jpg


Ni wazi kuwa, kwa mwendo huu:

Utesaji wa Dola - Agenda kubwa Uchaguzi ujao

2025 anaisoma.
 
Tatizo la hao chadema hawana mbinu za kufanya siasa zinazoendana na wakati. Kisiasa ukiona watu wanasikitika sikitika nao, lakini wao walishangilia watu wengine waliposikitika. Waliwaumiza watu kihisia. Sasa hivi usitegemee raia wasikitikie hivyo vibano wanavyokumbana nanyo.
 
Tatizo la hao chadema hawana mbinu za kufanya siasa zinazoendana na wakati. Kisiasa ukiona watu wanasikitika sikitika nao, lakini wao walishangilia watu wengine waliposikitika. Waliwaumiza watu kihisia. Sasa hivi usitegemee raia wasikitikie hivyo vibano wanavyokumbana nanyo.
Vibano vimezidi sana.
 
Kwa kweli kama kuchenjiwa na serikali tumechenjiwa.

Maana haijawahi kutokea kwenye historia ya taifa letu Chadema na watanzania kupata harassment ya namna hii.

Tukiandamana tunapewa kibano, tukifanya makongamano tunapewa kibano, tukifanya jogging tunapewa kibano. Kwa namna hii tuna wakati mgumu kisiasa kuliko nyakati yoyote ya utawawala wa CCM.

My take; tulisifia mapema sana.
Ukienda kuweka dhamana na wewe unaunganishwa kwenye kesi

Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
 
Tatizo la hao chadema hawana mbinu za kufanya siasa zinazoendana na wakati. Kisiasa ukiona watu wanasikitika sikitika nao, lakini wao walishangilia watu wengine waliposikitika. Waliwaumiza watu kihisia. Sasa hivi usitegemee raia wasikitikie hivyo vibano wanavyokumbana nanyo.

Ujumbe wa kufikisha unajulikana:

IMG_20210930_170832_807.jpg


Wewe ni huyu:

IMG_20211002_180125_316.jpg


Baadhi ya wenzako wako hapa CM 1774858, CHIEF MASALAKULANGWA

IMG_20211002_162524_689.jpg


IMG_20211002_123011_362.jpg


Kwa mawazo sare sare maua asiyejua kuchagua kabila lake msukusu.

Ninadokezwa uwezekano mkubwa kuwa CM 1774858, Imalamawazo, CHIEF MASALAKULANGWA ni mutu yule yule. Mutu ya Congo.

Hiiiiii bagosha!
 
Ujumbe wa kufikisha unajulikana:

View attachment 1960410

Wewe ni huyu:

View attachment 1960414

Baadhi ya wenzako wako hapa CM 1774858, CHIEF MASALAKULANGWA

View attachment 1960411

Kwa mawazo sare sare maua asiyejua kuchagua kabila lake msukuma.
Kama ulivyofanya hapo kuhoji alipo Moses ndiyo ubinadamu. Binadamu yeyote mwenye hofu ya Mungu hawezi kufurahia kifo cha mtu yeyote haijalishi mhusika ni muuaji kiasi gani. Kumbuka Kaini alimuua Abel, lakini Mungu alimpa ulinzi asiuawe. Achana na hoja mfu za ukabila, tetea uhai wa kila binadamu.
 
Kama ulivyofanya hapo kuhoji alipo Moses ndiyo ubinadamu. Binadamu yeyote mwenye hofu ya Mungu hawezi kufurahia kifo cha mtu yeyote haijalishi mhusika ni muuaji kiasi gani. Kumbuka Kaini alimuua Abel, lakini Mungu alimpa ulinzi asiuawe. Achana na hoja mfu za ukabila, tetea uhai wa kila binadamu.

Tofautisha marekebisho yasiyokusudiwa ya Android mkuu. Nilichomaanisha nilirejea mara moja na kurekebisha muda mfupi hata kabla ya bandiko lako.

Yule mwamba wa hilo kabila aliyetupotezea ndugu zetu wakiwamo kina Moses Ben Azory alitukera sana na kuliko maelezo.

Tunaamini wako hai kwenye manyumba ya mateso mahalu. Huyu anayeyaendeleza yale anayo nafasi ya kuanza kuwarejesha. Tushirikiane kumpigia kelele:

IMG_20210930_170832_807.jpg


Awarejeshe hai. Kuna wanaojua aliko Moses Lijenje.

Au nasema uongo ndugu yangu?
 
Wacheni maneno mmengi,
Mumeona wapi mabailikoyakaletwa na maneno matupu?
 
CM wanatumia ⚒️
Nyinyi tumieni angalau 🪓
Sio madole kama vile refaree ✌️ 👈 🖕

🔫 Mambo kama haya ,hatazile za maji zinafaa
 
Mzidi kuwasemea kwa Mabeberu wasiwape mpunga, maana tangu Mama aingie Mabeberu wamekuwa laini sana, ile Mikwara ya akina Pompeo siku hizi hatuioni kabisa
 
Back
Top Bottom