Intelligence Justice
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 3,443
- 4,006
Jeshini hakuna siasa ni nidhamu na utii wa sheria, kanuni na miongozi ya huko; ukaidi wa namna yoyote hushughulikiwa bila kupindisha popote kama wanasiasa kuogopa kuchafuka kisiasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jeshini hakuna siasa ni nidhamu na utii wa sheria, kanuni na miongozi ya huko; ukaidi wa namna yoyote hushughulikiwa bila kupindisha popote kama wanasiasa kuogopa kuchafuka kisiasa
Jeshini hakuna siasa ni nidhamu na utii wa sheria, kanuni na miongozi ya huko; ukaidi wa namna yoyote hushughulikiwa bila kupindisha popote kama wanasiasa kuogopa kuchafuka kisiasa
Wapi na lini Chadema walimsifia huyo mtu? Hizo ni drama zenu wenyewe huko CCM.Kwa kweli kama kuchenjiwa na serikali tumechenjiwa.
Maana haijawahi kutokea kwenye historia ya taifa letu Chadema na watanzania kupata harassment ya namna hii.
Tukiandamana tunapewa kibano, tukifanya makongamano tunapewa kibano, tukifanya jogging tunapewa kibano. Kwa namna hii tuna wakati mgumu kisiasa kuliko nyakati yoyote ya utawawala wa CCM.
My take; tulisifia mapema sana.
Kutesa ni moja wapo ya sehemu ya njia za uchunguzi kupata taarifa saidizi na elekezi ya matendo yaliyotendeka au kuelekea kutendeka unaoweza kutumika na jeshi dhidi ya adui au polisi dhidi ya uharifu (arbitrary law enforcement)Si Kingai wala Mahita walioyaleta hayo mahakamani kama sehemu ya utetezi wao.
Zaidi sana basi, ilikuwa nini umuhimu wa Mh. Jaji kutaka kujiridhisha baada ya Adamoo kudai aliteswa?
Vipi Kingai na Mahita nao kufika kimanga?
Kama watuhumiwa waliteswa Mh. Jaji na atoe hukumu itakayotoa findisho kwa wote wenye tabia za kutesa watu.
Hii ndiyo ile...ukikimbia chale; ukisimama chale; ukitikisika chale - jako jangu njombaTukiandamana tunapewa kibano, tukifanya makongamano tunapewa kibano, tukifanya jogging tunapewa kibano. Kwa namna hii tuna wakati mgumu kisiasa kuliko nyakati yoyote ya utawawala wa CCM.