Mganga wa Jadi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2008
- 280
- 51
Kutokana na kauli zake za hovyo na vitendo vyake visivyoendana na umri na cheo alicho nacho, nina mtunuku huyu bwana udaktari wa heshima, naye aheshimiwe na wapuuzi wenzake wanaovaa nguo na kofia za kijani, na kuongeza list ndefu ya ma daktari feki akimfuatia yule mkwere wa magogoni.
Hongera sana Dr Yusuf Makamba
Hongera sana Dr Yusuf Makamba