Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mablog mengine pia yametumiwa kuwajenga January na dada yake kuwa wabunge watarajiwa; hasa blog la mjomba misupu!!
Labda niulize swali moja la kizushi: Mnataka Sitta, Shelukindo, Mwakyembe, Kilango, ole Sendeka,..... wapite bila kupingwa?
Kwa hiyo alipofikia kwa mama January, Yusufu alikuwa na ujiko gani wakati huo m
paka January na mamake wakabadili jina la mtoto kuwa Makamba? Hana baba mzazi?[/QUM
Mkuu, Yusuf ndiye anaweza kukujibu vizuri, ila ukumbuke ni msanii mzuri tu
Labda niulize swali moja la kizushi: Mnataka Sitta, Shelukindo, Mwakyembe, Kilango, ole Sendeka,..... wapite bila kupingwa?
Mablog mengine pia yametumiwa kuwajenga January na dada yake kuwa wabunge watarajiwa; hasa blog la mjomba misupu!!
BULESI ..this is true huyu jamaa mwenye hiyo blogo ya mifupa pia anafanya kazi undercover!
Labda niulize swali moja la kizushi: Mnataka Sitta, Shelukindo, Mwakyembe, Kilango, ole Sendeka,..... wapite bila kupingwa?
Hahaha! hilo la elfu 2 hata mimi limenichekesha si afadhali hata mama alietoa kumi kumi.
was goin to say this soon,why huyu february anafight sana kuhusu hiyo chance??he gpromised to be a minister after,hivi ndio mmeona kuna dalili za kuisha ufisadi hapo kweli??mi ndio nabadili uraia kabisa hivyo potelea karibu.kila viongozi wakuu wanavyonitia maudhi na mimi ndio nazidi kutokomea,wabaki na bumbuli yao kesho aje mtoto wa nani mwingine keshokutwa mtoto wa nani sijui,bora tukae utumwani lakini democracy 50-50 baba yako mzazi humueshimu itakua mtoto wa makamba,mi naendelea kupiga box nyie bakini na politiki zenu.Blah bla blah blah blah blah blah blah blah..
The same old shyt different day.
Naona maandalizi ya mediocre JK kumpa uwaziri huyu Makamba.
Twafwa!
was goin to say this soon,why huyu february anafight sana kuhusu hiyo chance??he gpromised to be a minister after,hivi ndio mmeona kuna dalili za kuisha ufisadi hapo kweli??mi ndio nabadili uraia kabisa hivyo potelea karibu.kila viongozi wakuu wanavyonitia maudhi na mimi ndio nazidi kutokomea,wabaki na bumbuli yao kesho aje mtoto wa nani mwingine keshokutwa mtoto wa nani sijui,bora tukae utumwani lakini democracy 50-50 baba yako mzazi humueshimu itakua mtoto wa makamba,mi naendelea kupiga box nyie bakini na politiki zenu.
Swali la kizushi---Do you guys believe everything you read on the internet?
Poa sana. The idea of not believing everything you read on internet is rather a common sense. Whether one is advantageious to it or not. I guess, that is the beauty of commonsense and cold facts.No we don't, we don't even believe those who say "Don't believe everything you read on the internet" when it is to their advantage to say so.
Swali la kizushi---Do you guys believe everything you read on the internet?