Upiversity
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,487
- 2,632
...teh teh teh..jidanganyeni tu!Huyo Ndiye Mkuu Wa Timu Yake Ya Tehama, Ilivyokuwa Pale Mlimani City "Wakihesabu ", Kipindi Cha Uchaguzi Mkuu!! Hakuna Mtu Mwenye Uwezo Wa Kumfuta Kazi, Iwe Serikalini Au Ndani Ya CCM!!!!
Twambie kama ulisha ona fomu ya Obama, Mitt Romney, McCain au yeyote huko. Usijifanye unajua.Hivi hizo fomu zitawekwa hadharani watu tuzione?
duh we mchz cjui ukoje tuKwenye tarifa za habari wametajwa wote wamerejesha hizo fomu.
Chunguza, mbona zipo hadharani ...Twambie kama ulisha ona fomu ya Obama, Mitt Romney, McCain au yeyote huko. Usijifanye unajua.
Taarifa ya habari yenyewe ni TBC,poor youKwenye tarifa za habari wametajwa wote wamerejesha hizo fomu.
Again, unahitaji kumalizia Std III ili ujifunze matumizi sahihi ya herufi kubwa katika sentensi. Unatia kichefu chefu.Huyo Ndiye Mkuu Wa Timu Yake Ya Tehama, Ilivyokuwa Pale Mlimani City "Wakihesabu ", Kipindi Cha Uchaguzi Mkuu!! Hakuna Mtu Mwenye Uwezo Wa Kumfuta Kazi, Iwe Serikalini Au Ndani Ya CCM!!!!
Huo utaratibu wa kuziweka hadharani haujawahi kuwepo, labda uanze leo @NNHivi hizo fomu zitawekwa hadharani watu tuzione?
Twambie kama ulisha ona fomu ya Obama, Mitt Romney, McCain au yeyote huko. Usijifanye unajua.
Sasa mbona hakupewa wizara nyeti?Huyo Ndiye Mkuu Wa Timu Yake Ya Tehama, Ilivyokuwa Pale Mlimani City "Wakihesabu ", Kipindi Cha Uchaguzi Mkuu!! Hakuna Mtu Mwenye Uwezo Wa Kumfuta Kazi, Iwe Serikalini Au Ndani Ya CCM!!!!
Hasa huyu majaliwa na hussein mwinyi.. Yaaaani February anatamani angekuwa anatokea visiwaniTabia ya Makamba ni kama Lowassa hata namwona kama hana furaha na utawala wa Magufuli. Huyu jamaa ni very strategic na ana ndoto ya kuwa Rais ila nawasiwasi CCM watamhujumu baadae
Kuna tetesi nimetonywa kuwa Jan Makamba hakurejesha form zote mbili tume ya maadili.Hii ni kinyume na maagizo ya WM KMK.WM alitia mkwara kuwa kwa waziri ambaye hakurejesha mpaka sa 12 atakuwa amejifuta kazi.Aidha ktk vyombo vya habari January haonekani kutajwa wala kuonekana kurejesha form tofauti na wateule wengine
Swali zuri nami nasubiri majibu na kama utajibiwa inbox nami nijuze tafadhari
Raisi anaweza kufanya au kutofanya na asiulizwe na mtu. Yeye ndiye boss wa utumishi.Hivi Magufuli yeye alisha peleka za kwake?
Wabunge sio katika utumishi.Mbona ni mawiziri tu ? Wabunge je ?
mwambie hakuna ushemeji kwa JpmMkuu, umekula maharage ya wap? Unadhan ni serikali ya kulindana hii? Kulindana kungetokea tu kama angepita yule nywele nyeupe na si kwa jpm.