Tetesi: Makamba hakurejesha fomu, alindwa

Tetesi: Makamba hakurejesha fomu, alindwa

Status
Not open for further replies.
Huyo Ndiye Mkuu Wa Timu Yake Ya Tehama, Ilivyokuwa Pale Mlimani City "Wakihesabu ", Kipindi Cha Uchaguzi Mkuu!! Hakuna Mtu Mwenye Uwezo Wa Kumfuta Kazi, Iwe Serikalini Au Ndani Ya CCM!!!!
...teh teh teh..jidanganyeni tu!
 
Nguvu ya mwezi Wa kwanza katika chama ni kubwa sana ndio tegemeo la chama lenye nguvu 2025 Na hakuna Wa kumpinga maana ndio mastermind wa ushindi Wa chama
 
Huyo Ndiye Mkuu Wa Timu Yake Ya Tehama, Ilivyokuwa Pale Mlimani City "Wakihesabu ", Kipindi Cha Uchaguzi Mkuu!! Hakuna Mtu Mwenye Uwezo Wa Kumfuta Kazi, Iwe Serikalini Au Ndani Ya CCM!!!!
Again, unahitaji kumalizia Std III ili ujifunze matumizi sahihi ya herufi kubwa katika sentensi. Unatia kichefu chefu.
 
Tabia ya Makamba ni kama Lowassa hata namwona kama hana furaha na utawala wa Magufuli. Huyu jamaa ni very strategic na ana ndoto ya kuwa Rais ila nawasiwasi CCM watamhujumu baadae
 
Huyo Ndiye Mkuu Wa Timu Yake Ya Tehama, Ilivyokuwa Pale Mlimani City "Wakihesabu ", Kipindi Cha Uchaguzi Mkuu!! Hakuna Mtu Mwenye Uwezo Wa Kumfuta Kazi, Iwe Serikalini Au Ndani Ya CCM!!!!
Sasa mbona hakupewa wizara nyeti?
 
Unataka PM aaibike kwa kusema kuwa fulani hajaleta
 
Tabia ya Makamba ni kama Lowassa hata namwona kama hana furaha na utawala wa Magufuli. Huyu jamaa ni very strategic na ana ndoto ya kuwa Rais ila nawasiwasi CCM watamhujumu baadae
Hasa huyu majaliwa na hussein mwinyi.. Yaaaani February anatamani angekuwa anatokea visiwani
 
Kuna tetesi nimetonywa kuwa Jan Makamba hakurejesha form zote mbili tume ya maadili.Hii ni kinyume na maagizo ya WM KMK.WM alitia mkwara kuwa kwa waziri ambaye hakurejesha mpaka sa 12 atakuwa amejifuta kazi.Aidha ktk vyombo vya habari January haonekani kutajwa wala kuonekana kurejesha form tofauti na wateule wengine
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom