habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,749
Huyu ndo alikuwa kamati ya ufundi kuhakikisha Magu anaenda magogoni, Na hiyo kazi aliisimamia vyema Leo hii Magu amtose kirahisi rahisi tu, haiwezekani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante mkuu kwa ufanunuzi wako nimepata faida kutokana na majibu yako ubarikiweWabunge sio katika utumishi.
Yaani kumgusa mtoto wa kigogo ndani ya ccm ni mwiko na hiyo ndio imetoka hiyoKuna tetesi nimetonywa kuwa Jan Makamba hakurejesha form zote mbili tume ya maadili.Hii ni kinyume na maagizo ya WM KMK.WM alitia mkwara kuwa kwa waziri ambaye hakurejesha mpaka sa 12 atakuwa amejifuta kazi.Aidha ktk vyombo vya habari January haonekani kutajwa wala kuonekana kurejesha form tofauti na wateule wengine
Wewe tv yenyewe unategemea jirani ndio uichunglie tbccm na hayo nio maisha halisi ya mwana ccmKwenye tarifa za habari wametajwa wote wamerejesha hizo fomu.
Asante Na kwaheriHuyu ndo alikuwa kamati ya ufundi kuhakikisha Magu anaenda magogoni, Na hiyo kazi aliisimamia vyema Leo hii Magu amtose kirahisi rahisi tu, haiwezekani
Na baada ya kubuma walinywea na kuwa wadogo kama piriton hadi sasa hakuna kiongozi aliye waomba radhi watanzania kwa kuwaongopeakwani ct scan ya muhimbili walitaja wamechukua dodoma hospital?si ilibuma badae?
Kwa mwana ccm hayo ndio maneno yenu kila siku,eti wape muda?wakati siku zinaenda?kawaambie wajipange tena ndio waje na hiyo cd ya zilipendwaTulia tulia; wacha mcheche! Fuatilia haya mambo kwa kituo wacha mihemuko na ushabiki mandazi; mwachie JPM na MKM wanajua wanachofanya; wape muda; wewe huna taarifa za kutosha; sikilizia l!
Mwaka huu hiyo 46 itawamaliza akili na kuwatoa kibiongo maana mnajitahidi kutetea kila uozo ndani ya ccm ili angalau msikikeMkuu, umekula maharage ya wap? Unadhan ni serikali ya kulindana hii? Kulindana kungetokea tu kama angepita yule nywele nyeupe na si kwa jpm.
Kwahiyo unataka kusema kuwa hagopi hata na pushapu?Makamba ni namba nyingine pale ccm, hafanyi kazi kwa uogaa
Swali zuri nami nasubiri majibu na kama utajibiwa inbox nami nijuze tafadhari
Yule jamaa ni strateger, anajiaminiKwahiyo unataka kusema kuwa hagopi hata na pushapu?
Naona anatumia umaarufu wa mzizi ya bumbuliYule jamaa ni strateger, anajiamini
Al shabaabuuuuuu= tafadhali
Gari linasonga; Rome was not built overnight mind you!Kwa mwana ccm hayo ndio maneno yenu kila siku,eti wape muda?wakati siku zinaenda?kawaambie wajipange tena ndio waje na hiyo cd ya zilipendwa
magumashi matupu hiyo form haisaidii chochote, kibaya zaidi kila baada ya miaka Fulani hujazwa wengine hujaza vilevile ingawa wanajilikana wamevuna sana.Hizo fomu ni upuuzi mtupu sababu wala wananchi hawaonyeshwi,ni siri eti ya ofisi!
Kibaya zaidi wanapo ondoka wala hawataji wameongeza mali gani!Hata Chenge na Prof Kaju hawakutaja kama walipewa mabilion na Ruge
Upuuzi mtupu
Kuna tetesi nimetonywa kuwa Jan Makamba hakurejesha form zote mbili tume ya maadili.Hii ni kinyume na maagizo ya WM KMK.WM alitia mkwara kuwa kwa waziri ambaye hakurejesha mpaka sa 12 atakuwa amejifuta kazi.Aidha ktk vyombo vya habari January haonekani kutajwa wala kuonekana kurejesha form tofauti na wateule wengine
Hata Magufuli HAWEZI taja analipwa bei gani na watz kwa mwezi!Ukimuuliza swali hilo legit kabisa anaweza akakutia mahabusumagumashi matupu hiyo form haisaidii chochote, kibaya zaidi kila baada ya miaka Fulani hujazwa wengine hujaza vilevile ingawa wanajilikana wamevuna sana.
Waenda wapiAsante Na kwaheri