Makamba: Itachukua misimu miwili ya mvua kujaza Bwawa la Nyerere

Nitajie mali alizojimilikisha jiwe,
Mimi nikutajie mali walizojimilikisa Samia, Kikwete na Mkapa.
Ili tuchuje kati ya hao ni nani kapampania maslahi yake binafsi
Kwani hao si ni walewale. Ile 1.5tr ambayo mpaka leo hajulikani ilipo. Mpaka akamtoa CAG baada ya kuona kuwa ataumbuka,nyumba alizowapa watu wake na vingine vingi tu
 
Nitajie mali alizojimilikisha jiwe,
Mimi nikutajie mali walizojimilikisa Samia, Kikwete na Mkapa.
Ili tuchuje kati ya hao ni nani kapampania maslahi yake binafsi
Shirika la ndege hakutaka likaguliwe akalihamisha mpaka sasa bei ya hizo ndege ikabaki kuwa siri yake na washirika wake. Uwanja wa ndege tender ilitolewa kimya kimya kwa watu wake
 
Kazi ipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…