Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
Na tulielezwa kuwa mafuta yunayotumia yanakuwa yamenunuliwa miezi mitatu nyuma.
Makamba is a failure. EWURA ni taasisi ya ajabu kabisa. Hawana maono wala mipango ya muda mrefu.
Hakuna sababu yoyote ya msingi ya bei ya mafuta kupanda. Labda waseme ukweli kama kuna kodi zimerudishwa kwenye mafuta.
Makamba is a failure. EWURA ni taasisi ya ajabu kabisa. Hawana maono wala mipango ya muda mrefu.
Hakuna sababu yoyote ya msingi ya bei ya mafuta kupanda. Labda waseme ukweli kama kuna kodi zimerudishwa kwenye mafuta.