Makamba na genge lake wamekurupuka kwenye bei ya mafuta, na benki kuu nao wapo kwenye usingizi wa pono

Makamba na genge lake wamekurupuka kwenye bei ya mafuta, na benki kuu nao wapo kwenye usingizi wa pono

Na tulielezwa kuwa mafuta yunayotumia yanakuwa yamenunuliwa miezi mitatu nyuma.

Makamba is a failure. EWURA ni taasisi ya ajabu kabisa. Hawana maono wala mipango ya muda mrefu.

Hakuna sababu yoyote ya msingi ya bei ya mafuta kupanda. Labda waseme ukweli kama kuna kodi zimerudishwa kwenye mafuta.
 
Kafuatilie bulk procurement wewe ng'ombe


Mafuta hayanunuliwi kama chupi kariakoo.

Mafuta tunayotumia Sasa hivi yameagizwa miezi kadhaa nyuma kwenye bulk procurement process kabla ya Dolla kupanda wewe kichwa maji.


Mitanzania mna akili ziko shallow sana
Unapoint sana,,, em fikiria ungekuwa ni wewe unauza bidhaa sokoni 1000 uliyoinunua kwa bei ya jumla 500 na ukasikia mapema unakojumua saiz bei ya jumla imepanda ni 700 utaendelea kuuza kwa 1000?

Mbona hizi logic za kawaida sana kibiashara mtu ananunua mazao kwa bei ndogo anayaweka store bei zikipanda anauza kwa bei iliopo sokon au ulitaka nao waseme kwa kua alinunua bei ndogo faida zao ziwe limit kama ni 1000 ibaki 1000 hata kama watatokea wanunuz ambao atapata faida 4000?
Kinachowapoza nyinyi mnaamini serikali ni wananchi ukiuelewa huu uongo utaacha kuteseka

Serikali sio ya wananchi mnadanganywaaa ni familia yenye MAFANIKIO inayomiliki rasilimari za mipaka iliyochorwa na wakolon ili utumie hizi rasilimali lazima ulipie na watakupangia tafta kaupenyo ka kujiunga na hii familia utainjoi #giant terrorist
 
Nimeshtushwa na hatua za waziri Makamba na Ewura kukurupuka kwa kuongeza bei ya mafuta kwa kisingizio cha eti, ‘kuna uhaba wa dola nchini’. Nauita ni uamuzi wa kukurupuka kwasababu yeye Makamba na Ewura hawana mamlaka ya kisheria kuzungumzia uhaba wa dola kwenye uchumi, hiyo ni kazi ya benki kuu ya Tanzania.

Na mpaka sasa ninashangaa ni kwanini benki kuu wapo usingizini kuhusiana na hichi kitu na hawajatoa tamko lolote. Haiwezakani mtu tu unaamka huko kukurukukuru unaongeza bei kwa asilimia Zaidi ya 16, kwa kisingizio cha sababu ambazo huna utaalamu nazo. Ewura na Wizara ya Nishati na mambo ya uhaba wa dola, wapi na wapi jamani?

Nimemulika hili suala bila mihemuko, na nimejiridhisha kwamba kuna makosa makubwa na ubatili kwenye hili tamko la Makamba na Ewura, na nina hoja zifuatazo.

1. Huko duniani, mafuta bado yapo kwenye bei ya chini ikilinganishwa na bei ya mwaka mmoja uliopita.

View attachment 2710463

Maana yake ni kwamba, hakuna any justification ya kuongezeka kwa bei ya mafuta kilichotokea huko duniani. Hivo inamaanisha, yale makampuni ya kuagiza mafuta hapa Tanzania bado wana agiza mafuta kwa bei ile ile ya awali kabla ya hili ongezeko la kukurupuka kwenye bei ya kuuzia sokoni. Maana yake ni kwamba, hii kupandisha bei kiholela itakuwa imewaongezea wauzaji na waagizaji wa mafuta faida ya Zaidi ya asilimia 16 kwasababu technically, cost of sales bado ni ile ile iliyokuwepo kwa kipindi cha miezi sita iliyopita.

Kwa mantiki hiyo, Ewura na Waziri Makamba, wanatuthibitishia vipi kwamba hakuna msukumo kutoka kwa wafanyabiashara wa mafuta wa Tanzania ili kupandisha bei ya mafuta kwa lengo la kutengeneza faida ya haraka?

2. Gharama za kuagiza mafuta kwa mwezi Tanzania ni pungufu ya asilimia 17 ya gharama za kuagiza bidhaa zote zinazotoka nje ya nchi (Imports), kwanini Makamba na Ewura wanadhani hiyo ndo njia sahihi ya kupambana na kukosekana kwa dola?

Kwasababu, haiingii akilini unaongeza bei ya kitu ambacho kinagharimu chini ya asilimia 17 ya gharama zote za kuagiza bidhaa nje ya nchi halafu zile imports nyingine zinazogharimu Zaidi ya asilimia 85 umeona kwamba hazichangii kwenye kuadimika kwa dola? Hiki kwangu pia ni kihoja.

View attachment 2710464
Na hata ukiangalia hizo takwimu, unaweza kuona trend inaenda ikiboreka, maana yake situation ilikuwa worse kwa mwaka jana kuliko hata kwa wakati huu.

Lakini issue nyingine, ukiangalia volume ya mafuta inayoagizwa Tanzania kwa kipindi hiki ni ndogo kuliko hata ilivokuwa kwa mwaka jana, maana yake ni kwamba fedha za kigeni zinazotumia kununua mafuta nje ya nchi sio kwa kiasi kikubwa kama ilivokuwa mwaka jana.

View attachment 2710465
So, hiyo inaamisha kwamba, kuongeza bei ya mafuta kwa gia ya kupunguza dola outflow haina mashiko kwa sababu so far, kiwango cha dola kinachonunua mafuta ni kidogo (less tha 17% of all imports) halafu pia, kiwango cha mafuta kinachoagizwa na nchi ni pungufu kuliko ilivokuwa mwaka jana.

Kwa hoja hizo hapo, ni wazi kabisa kwamba uamuzi wa Makamba na Ewura ni uamuzi wa hovyo kwangu mimi na hauna tija yoyote kwenye kukabiliana na upungufu wa dola kwenye uchumi.

Na ninauona ni uamuzi wa kukurupuka kwasababu hakuna nadharia yeyote ya uchumi inayosema kwamba, dola ikiadimika basi unaongeza bei ili watu waache kuagiza bidhaa kwa lengo la kuzuia matumizi ya fedha za kigeni.

Kwasababu kiuchumi, unavoongeza bei ya kitu, maana yake unataka kupunguza demand ya kile kitu na pia kupunguza demand ya fedha za kigeni kwenye kuagiza kile kitu.

Lakini sasa, wewe unatakaje kupunguza demand ya bidhaa muhimu kama mafuta ambayo matumizi yake yana drive uchumi wa nchi? Automatically, mi ambacho nakiona kikitokea ni kuongezeka kwa pressure ya vitu kuanza kupanda bei kiholela kitu ambacho kwa sisi wanauchumi matokeo yake itakuwa kuongeza pressure ya inflation ambayo ndo itachochea Zaidi kupanda kwa bei ya dola na kuadimika kwake maradufu.

Maana yake ni kwamba, hicho wanachoogopa Makamba na Ewura, kwamba ‘kukosekana kwa dola ya kuagiza mafuta’, ndicho haswa wanaenda kuchangia kukisababisha kutokea kwa haraka, kwa uamuzi wao huu wa kukurupuka.

Kama nasema uongo, ‘wait and see’. Mwezi wa kumi nitarudi hapa kwenye huu uzi.

Mwisho kabisa, ni kweli kuna vitu vina vinatokea kwenye uchumi wa Tanzania kwa sasa, na ambavyo vinapeleka shillingi ya Tanzania inapoteza kwa kasi thamani yake tangu huu mwaka uanze.

View attachment 2710467
Ila siwezi nikapenyeza hii mada kwenye huu uzi, lakini nachoweza kusema, na kwa maoni yangu baada ya utafiti ambao naendelea kuufanya, ni kwamba, kuna uzembe Fulani Benki kuu ya Tanzania wanafanya kwasasa ambao nina uhakika kabisa ndio chanzo cha hili sakata la kuadimika na kupanda haraka kwa bei ya dola kwenye uchumi. Ndo maana naona ni kama, na wao wamelala usingizi wa pono, kama hawa waliokurupuka na kupandisha bei yao ya mafuta.

Nitaweka uzi hapa soon.

N.Mushi
Asante kwa uchambuzi.
 
Mkuu hongera sana umekuja na data nyingi ila ukitaka kujihakikishia dollar hamna nenda kwenye benki kuchange TSH ili upewe dollars. Hapo kilichopo ni kwamba Tsh zipo za kutosha tatizo lipo kwenye kuzibadili hizo TSH kuwa dollars ili uweze kufanya hiyo transaction ya mafuta na wauzaji wa mataifa ya nje. Ni sawa na una laki tano Mfukoni mwako unakwenda kwa wakala wa MPESA kuweka ili umtumie mtu alafu wakala anakwambia sina flot. Hapo moja kwa moja unabaki na hela zako mfukoni japo ni nyingi.
🤣🤣🤣 uko shallow sana kijana hii sababu yako haitufikishi popote,,,kwa hii sabab yako unapokuwa umepandisha bei unakuwa unasolve nini?

Hapo cha zaidi utafanya kuwakomoa watu wasio na hatia

Mara nyingi sabab ya kupanda bei huwa ni bei ya jumla kupanda au bidhaa yenyewe kuwa adimu ambayo huendana na kupanda kwa bei ya jumla
 
Nimeshtushwa na hatua za waziri Makamba na Ewura kukurupuka kwa kuongeza bei ya mafuta kwa kisingizio cha eti, ‘kuna uhaba wa dola nchini’. Nauita ni uamuzi wa kukurupuka kwasababu yeye Makamba na Ewura hawana mamlaka ya kisheria kuzungumzia uhaba wa dola kwenye uchumi, hiyo ni kazi ya benki kuu ya Tanzania.

Na mpaka sasa ninashangaa ni kwanini benki kuu wapo usingizini kuhusiana na hichi kitu na hawajatoa tamko lolote. Haiwezakani mtu tu unaamka huko kukurukukuru unaongeza bei kwa asilimia Zaidi ya 16, kwa kisingizio cha sababu ambazo huna utaalamu nazo. Ewura na Wizara ya Nishati na mambo ya uhaba wa dola, wapi na wapi jamani?

Nimemulika hili suala bila mihemuko, na nimejiridhisha kwamba kuna makosa makubwa na ubatili kwenye hili tamko la Makamba na Ewura, na nina hoja zifuatazo.

1. Huko duniani, mafuta bado yapo kwenye bei ya chini ikilinganishwa na bei ya mwaka mmoja uliopita.

View attachment 2710463

Maana yake ni kwamba, hakuna any justification ya kuongezeka kwa bei ya mafuta kilichotokea huko duniani. Hivo inamaanisha, yale makampuni ya kuagiza mafuta hapa Tanzania bado wana agiza mafuta kwa bei ile ile ya awali kabla ya hili ongezeko la kukurupuka kwenye bei ya kuuzia sokoni. Maana yake ni kwamba, hii kupandisha bei kiholela itakuwa imewaongezea wauzaji na waagizaji wa mafuta faida ya Zaidi ya asilimia 16 kwasababu technically, cost of sales bado ni ile ile iliyokuwepo kwa kipindi cha miezi sita iliyopita.

Kwa mantiki hiyo, Ewura na Waziri Makamba, wanatuthibitishia vipi kwamba hakuna msukumo kutoka kwa wafanyabiashara wa mafuta wa Tanzania ili kupandisha bei ya mafuta kwa lengo la kutengeneza faida ya haraka?

2. Gharama za kuagiza mafuta kwa mwezi Tanzania ni pungufu ya asilimia 17 ya gharama za kuagiza bidhaa zote zinazotoka nje ya nchi (Imports), kwanini Makamba na Ewura wanadhani hiyo ndo njia sahihi ya kupambana na kukosekana kwa dola?

Kwasababu, haiingii akilini unaongeza bei ya kitu ambacho kinagharimu chini ya asilimia 17 ya gharama zote za kuagiza bidhaa nje ya nchi halafu zile imports nyingine zinazogharimu Zaidi ya asilimia 85 umeona kwamba hazichangii kwenye kuadimika kwa dola? Hiki kwangu pia ni kihoja.

View attachment 2710464
Na hata ukiangalia hizo takwimu, unaweza kuona trend inaenda ikiboreka, maana yake situation ilikuwa worse kwa mwaka jana kuliko hata kwa wakati huu.

Lakini issue nyingine, ukiangalia volume ya mafuta inayoagizwa Tanzania kwa kipindi hiki ni ndogo kuliko hata ilivokuwa kwa mwaka jana, maana yake ni kwamba fedha za kigeni zinazotumia kununua mafuta nje ya nchi sio kwa kiasi kikubwa kama ilivokuwa mwaka jana.

View attachment 2710465
So, hiyo inaamisha kwamba, kuongeza bei ya mafuta kwa gia ya kupunguza dola outflow haina mashiko kwa sababu so far, kiwango cha dola kinachonunua mafuta ni kidogo (less tha 17% of all imports) halafu pia, kiwango cha mafuta kinachoagizwa na nchi ni pungufu kuliko ilivokuwa mwaka jana.

Kwa hoja hizo hapo, ni wazi kabisa kwamba uamuzi wa Makamba na Ewura ni uamuzi wa hovyo kwangu mimi na hauna tija yoyote kwenye kukabiliana na upungufu wa dola kwenye uchumi.

Na ninauona ni uamuzi wa kukurupuka kwasababu hakuna nadharia yeyote ya uchumi inayosema kwamba, dola ikiadimika basi unaongeza bei ili watu waache kuagiza bidhaa kwa lengo la kuzuia matumizi ya fedha za kigeni.

Kwasababu kiuchumi, unavoongeza bei ya kitu, maana yake unataka kupunguza demand ya kile kitu na pia kupunguza demand ya fedha za kigeni kwenye kuagiza kile kitu.

Lakini sasa, wewe unatakaje kupunguza demand ya bidhaa muhimu kama mafuta ambayo matumizi yake yana drive uchumi wa nchi? Automatically, mi ambacho nakiona kikitokea ni kuongezeka kwa pressure ya vitu kuanza kupanda bei kiholela kitu ambacho kwa sisi wanauchumi matokeo yake itakuwa kuongeza pressure ya inflation ambayo ndo itachochea Zaidi kupanda kwa bei ya dola na kuadimika kwake maradufu.

Maana yake ni kwamba, hicho wanachoogopa Makamba na Ewura, kwamba ‘kukosekana kwa dola ya kuagiza mafuta’, ndicho haswa wanaenda kuchangia kukisababisha kutokea kwa haraka, kwa uamuzi wao huu wa kukurupuka.

Kama nasema uongo, ‘wait and see’. Mwezi wa kumi nitarudi hapa kwenye huu uzi.

Mwisho kabisa, ni kweli kuna vitu vina vinatokea kwenye uchumi wa Tanzania kwa sasa, na ambavyo vinapeleka shillingi ya Tanzania inapoteza kwa kasi thamani yake tangu huu mwaka uanze.

View attachment 2710467
Ila siwezi nikapenyeza hii mada kwenye huu uzi, lakini nachoweza kusema, na kwa maoni yangu baada ya utafiti ambao naendelea kuufanya, ni kwamba, kuna uzembe Fulani Benki kuu ya Tanzania wanafanya kwasasa ambao nina uhakika kabisa ndio chanzo cha hili sakata la kuadimika na kupanda haraka kwa bei ya dola kwenye uchumi. Ndo maana naona ni kama, na wao wamelala usingizi wa pono, kama hawa waliokurupuka na kupandisha bei yao ya mafuta.

Nitaweka uzi hapa soon.

N.Mushi
Wewe umechambua kisiasa au kiuchumi?
 
Nimeshtushwa na hatua za waziri Makamba na Ewura kukurupuka kwa kuongeza bei ya mafuta kwa kisingizio cha eti, ‘kuna uhaba wa dola nchini’. Nauita ni uamuzi wa kukurupuka kwasababu yeye Makamba na Ewura hawana mamlaka ya kisheria kuzungumzia uhaba wa dola kwenye uchumi, hiyo ni kazi ya benki kuu ya Tanzania.

Na mpaka sasa ninashangaa ni kwanini benki kuu wapo usingizini kuhusiana na hichi kitu na hawajatoa tamko lolote. Haiwezakani mtu tu unaamka huko kukurukukuru unaongeza bei kwa asilimia Zaidi ya 16, kwa kisingizio cha sababu ambazo huna utaalamu nazo. Ewura na Wizara ya Nishati na mambo ya uhaba wa dola, wapi na wapi jamani?

Nimemulika hili suala bila mihemuko, na nimejiridhisha kwamba kuna makosa makubwa na ubatili kwenye hili tamko la Makamba na Ewura, na nina hoja zifuatazo.

1. Huko duniani, mafuta bado yapo kwenye bei ya chini ikilinganishwa na bei ya mwaka mmoja uliopita.

View attachment 2710463

Maana yake ni kwamba, hakuna any justification ya kuongezeka kwa bei ya mafuta kilichotokea huko duniani. Hivo inamaanisha, yale makampuni ya kuagiza mafuta hapa Tanzania bado wana agiza mafuta kwa bei ile ile ya awali kabla ya hili ongezeko la kukurupuka kwenye bei ya kuuzia sokoni. Maana yake ni kwamba, hii kupandisha bei kiholela itakuwa imewaongezea wauzaji na waagizaji wa mafuta faida ya Zaidi ya asilimia 16 kwasababu technically, cost of sales bado ni ile ile iliyokuwepo kwa kipindi cha miezi sita iliyopita.

Kwa mantiki hiyo, Ewura na Waziri Makamba, wanatuthibitishia vipi kwamba hakuna msukumo kutoka kwa wafanyabiashara wa mafuta wa Tanzania ili kupandisha bei ya mafuta kwa lengo la kutengeneza faida ya haraka?

2. Gharama za kuagiza mafuta kwa mwezi Tanzania ni pungufu ya asilimia 17 ya gharama za kuagiza bidhaa zote zinazotoka nje ya nchi (Imports), kwanini Makamba na Ewura wanadhani hiyo ndo njia sahihi ya kupambana na kukosekana kwa dola?

Kwasababu, haiingii akilini unaongeza bei ya kitu ambacho kinagharimu chini ya asilimia 17 ya gharama zote za kuagiza bidhaa nje ya nchi halafu zile imports nyingine zinazogharimu Zaidi ya asilimia 85 umeona kwamba hazichangii kwenye kuadimika kwa dola? Hiki kwangu pia ni kihoja.

View attachment 2710464
Na hata ukiangalia hizo takwimu, unaweza kuona trend inaenda ikiboreka, maana yake situation ilikuwa worse kwa mwaka jana kuliko hata kwa wakati huu.

Lakini issue nyingine, ukiangalia volume ya mafuta inayoagizwa Tanzania kwa kipindi hiki ni ndogo kuliko hata ilivokuwa kwa mwaka jana, maana yake ni kwamba fedha za kigeni zinazotumia kununua mafuta nje ya nchi sio kwa kiasi kikubwa kama ilivokuwa mwaka jana.

View attachment 2710465
So, hiyo inaamisha kwamba, kuongeza bei ya mafuta kwa gia ya kupunguza dola outflow haina mashiko kwa sababu so far, kiwango cha dola kinachonunua mafuta ni kidogo (less tha 17% of all imports) halafu pia, kiwango cha mafuta kinachoagizwa na nchi ni pungufu kuliko ilivokuwa mwaka jana.

Kwa hoja hizo hapo, ni wazi kabisa kwamba uamuzi wa Makamba na Ewura ni uamuzi wa hovyo kwangu mimi na hauna tija yoyote kwenye kukabiliana na upungufu wa dola kwenye uchumi.

Na ninauona ni uamuzi wa kukurupuka kwasababu hakuna nadharia yeyote ya uchumi inayosema kwamba, dola ikiadimika basi unaongeza bei ili watu waache kuagiza bidhaa kwa lengo la kuzuia matumizi ya fedha za kigeni.

Kwasababu kiuchumi, unavoongeza bei ya kitu, maana yake unataka kupunguza demand ya kile kitu na pia kupunguza demand ya fedha za kigeni kwenye kuagiza kile kitu.

Lakini sasa, wewe unatakaje kupunguza demand ya bidhaa muhimu kama mafuta ambayo matumizi yake yana drive uchumi wa nchi? Automatically, mi ambacho nakiona kikitokea ni kuongezeka kwa pressure ya vitu kuanza kupanda bei kiholela kitu ambacho kwa sisi wanauchumi matokeo yake itakuwa kuongeza pressure ya inflation ambayo ndo itachochea Zaidi kupanda kwa bei ya dola na kuadimika kwake maradufu.

Maana yake ni kwamba, hicho wanachoogopa Makamba na Ewura, kwamba ‘kukosekana kwa dola ya kuagiza mafuta’, ndicho haswa wanaenda kuchangia kukisababisha kutokea kwa haraka, kwa uamuzi wao huu wa kukurupuka.

Kama nasema uongo, ‘wait and see’. Mwezi wa kumi nitarudi hapa kwenye huu uzi.

Mwisho kabisa, ni kweli kuna vitu vina vinatokea kwenye uchumi wa Tanzania kwa sasa, na ambavyo vinapeleka shillingi ya Tanzania inapoteza kwa kasi thamani yake tangu huu mwaka uanze.

View attachment 2710467
Ila siwezi nikapenyeza hii mada kwenye huu uzi, lakini nachoweza kusema, na kwa maoni yangu baada ya utafiti ambao naendelea kuufanya, ni kwamba, kuna uzembe Fulani Benki kuu ya Tanzania wanafanya kwasasa ambao nina uhakika kabisa ndio chanzo cha hili sakata la kuadimika na kupanda haraka kwa bei ya dola kwenye uchumi. Ndo maana naona ni kama, na wao wamelala usingizi wa pono, kama hawa waliokurupuka na kupandisha bei yao ya mafuta.

Nitaweka uzi hapa soon.

N.Mushi
Huyu Mama anaendesha nchi kama VICOBA,deni likiiva anaenda kukopa tena ili kulipa mkopo.Kwaiyo pesa nyingi ina hudumia deni la nchi wakati export yetu yenyewe chenga!
 
Usiongope....

Ni miezi miwili tu iliyopita GAVANA WA BOT Dr.E .Tutuba aliongelea huo upungufu wa DOLA....

Mh.Makamba na EWURA wako sahihi....

Ukiamua kuwashambulia basi uje na upembuzi yakinifu [emoji1787]

#SiempreJMT[emoji120]
Tutuba ana PhD?
 
"Kwasababu kiuchumi, unavoongeza bei ya kitu, maana yake unataka kupunguza demand ya kile kitu na pia kupunguza demand ya fedha za kigeni kwenye kuagiza kile kitu"

Kukurekebisha tu hapo Ewe Mchumi Uchwara, Ukipandisha bei ya kitu unaongeza demand yake na kupunguza supply yake na sio ulivoandika..

Asante
Mkuu umesoma ulichoandika au ndiyo mihemko ya uchawa!
 
Usiongope....

Ni miezi miwili tu iliyopita GAVANA WA BOT Dr.E .Tutuba aliongelea huo upungufu wa DOLA....

Mh.Makamba na EWURA wako sahihi....

Ukiamua kuwashambulia basi uje na upembuzi yakinifu [emoji1787]

#SiempreJMT[emoji120]
Nimeongopa nini? Lete ushahidi mezani kwamba nimeongopa... Acha bangi na mihemko, kwanini usinijibu kwa hoja
 
Kama hujawahi kuwa na exposure ya kuagiza mizigo nje huwezi kuelewa kupanda bei Kwa mafuta mkuu,na hata ukielezwa huwezi kuelewa kabisa yaani........
 
"Kwasababu kiuchumi, unavoongeza bei ya kitu, maana yake unataka kupunguza demand ya kile kitu na pia kupunguza demand ya fedha za kigeni kwenye kuagiza kile kitu"

Kukurekebisha tu hapo Ewe Mchumi Uchwara, Ukipandisha bei ya kitu unaongeza demand yake na kupunguza supply yake na sio ulivoandika..

Asante
We kweli uchumi umesomea chini ya mti. Rudia rudia tena kusoma huo ujinga wako ulioandika paragraph ya pili ..."ukipandisha bei ya kitu unaongeza demand yake.." hivi wewe upo timamu kweli???

Acha kubisha ili mradi kubisha
 
Mkuu hongera sana umekuja na data nyingi ila ukitaka kujihakikishia dollar hamna nenda kwenye benki kuchange TSH ili upewe dollars. Hapo kilichopo ni kwamba Tsh zipo za kutosha tatizo lipo kwenye kuzibadili hizo TSH kuwa dollars ili uweze kufanya hiyo transaction ya mafuta na wauzaji wa mataifa ya nje. Ni sawa na una laki tano Mfukoni mwako unakwenda kwa wakala wa MPESA kuweka ili umtumie mtu alafu wakala anakwambia sina flot. Hapo moja kwa moja unabaki na hela zako mfukoni japo ni nyingi.
NI kweli dola hamna, hoja yangu ni kwamba, kupandisha bei ya mafuta hakutatui hilo tatizo.

Kwa maoni yangu kinachotakiwa ni benki kuu ku adjust monetary policy kwa sasa
 
Na tulielezwa kuwa mafuta yunayotumia yanakuwa yamenunuliwa miezi mitatu nyuma.

Makamba is a failure. EWURA ni taasisi ya ajabu kabisa. Hawana maono wala mipango ya muda mrefu.

Hakuna sababu yoyote ya msingi ya bei ya mafuta kupanda. Labda waseme ukweli kama kuna kodi zimerudishwa kwenye mafuta.
Hatua za kipara Zina baraka za Baraza la mawaziri.

Zimebarikiwa na mkuu,

Waziri ni karani tu wa mkubwa🙏🙏
 
Tuambie wsy forward sio unatoa taarifa tu
Soma paragraph ya mwisho, acha kukurupuka na wewe.... nipo naandaa thread nyingine kuishauri serikali kuhusu hii changamoto ya dola
 
Kama hujawahi kuwa na exposure ya kuagiza mizigo nje huwezi kuelewa kupanda bei Kwa mafuta mkuu,na hata ukielezwa huwezi kuelewa kabisa yaani........
Acha siasa zako na wewe, kuagiza mzigo nje napo imeshakuwa exposure?

Kwahiyo wewe mwenye exposure ndo una suppport bei ya mafuta kupandishwa?
 
Back
Top Bottom