Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuache wivu presidential material huyo, ondokeni na libibi lenu na halina ubavu wa kumtoa hao ndio wanampa Kila akili ya kuongoza.
Alipataga zero Galanos nasikiaTuache wivu presidential material huyo, ondokeni na libibi lenu na halina ubavu wa kumtoa hao ndio wanampa Kila akili ya kuongoza.
Haijalishi Ina atakuwa Rais wa Jamhuri ya TanzaniaAlipataga zero Galanos nasikia
.Haijalishi Ina atakuwa Rais wa Jamhuri ya Tanzania
Atakuwa Rais wa nchi yako na familia yako labda. Mtoto wa kiume unamtetea mwanaume mwenzako kwa hisia kama kakuvua ubingwa vile.Haijalishi Ina atakuwa Rais wa Jamhuri ya Tanzania
Heshima kitu cha bure, hii sio lugha ya heshima!.ondokeni na libibi lenu na halina akili ya kuongoza.
Naunga mkono hoja January Makamba, very intelligent, humble, down-to-earth! Can make the best PresidentJanuary Makamba ni suala la muda tu, lkn soon anakwenda kuwa rais wa nchi hii
Natamani Watanzania tungekua na uelewa kama huyu mdau
Huko KKKT kwenyewe Dr Naniliu PhD keshamuacha Mbali Sana huku La Mitume mgombea wetu anajulikana kabisa😂😂🔥Huyu ni agent wa sukuma gang. Kwani Makamba ndiyo nyaya za umeme?
January Makamba ni suala la muda tu, lkn soon anakwenda kuwa rais wa nchi hii
Umetumwa eeeh it will never happen....kwalipi?Tuache wivu presidential material huyo, ondokeni na libibi lenu na halina ubavu wa kumtoa hao ndio wanampa Kila akili ya kuongoza.
Never never never haitowahi kutokea msimjaze ujingaHuyu ni agent wa sukuma gang. Kwani Makamba ndiyo nyaya za umeme?
January Makamba ni suala la muda tu, lkn soon anakwenda kuwa rais wa nchi hii
Mtajamba sana huyo January ni presidential material mtake msitake ndio hivyo. Marais wa kibahati bahati hakuna tenaAtakuwa Rais wa nchi yako na familia yako labda. Mtoto wa kiume unamtetea mwanaume mwenzako kwa hisia kama kakuvua ubingwa vile.
Utajamba wewe ukishavuliwa ubingwa, maswala yako ya kujinyea nyea unamletea nani sasa.Mtajamba sana huyo January ni presidential material mtake msitake ndio hivyo. Marais wa kibahati bahati hakuna tena
Siongei na panya kama nyie huyo shangazi yenu ni wa mpito mtake msitake ndio hivyoUtajamba wewe ukishavuliwa ubingwa, maswala yako ya kujinyea nyea unamletea nani sasa.