mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 3,074
- 6,472
mkuu makadilio ya bei ni shngp? mana nataka nije fullNi nzuri zaidi ukipitia halmashauri ndo unapata plot nzuri fika kitengo Cha ardhi watakuonesha viwanja vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu makadilio ya bei ni shngp? mana nataka nije fullNi nzuri zaidi ukipitia halmashauri ndo unapata plot nzuri fika kitengo Cha ardhi watakuonesha viwanja vizuri
Kuna eneo kubwa lina Hill View, mita 500 toka main road..TAZAM, panafaa kwa hotel, lodge nk..pana beacons, sqm 3894. Umeme na maji karibu..barabara ya mtaa hapohapo inapita..mtaa ni magongo..karibu na reli ya tazara. Ukipahitaji ni tsh 14ml. Sms 0652 656565 nikuunganishe na mzee mhusika.Uwanja bei gani nataka nije ninunue plot ya kujenga kama unacho niunganishe
napaitaji ila kwa saiv nina robo tatu ya pesa hiyo nategemea had tarehe 5/11 kama hatopatikana mteja nitakuchek nipachukueKuna eneo kubwa lina Hill View, mita 500 toka main road..TAZAM, panafaa kwa hotel, lodge nk..pana beacons, sqm 3894. Umeme na maji karibu..barabara ya mtaa hapohapo inapita..mtaa ni magongo..karibu na reli ya tazara. Ukipahitaji ni tsh 14ml. Sms 0652 656565 nikuunganishe na mzee mhusika.
Sawa. Tuwasiliane nikuunganishe na mzazi wangu mtayajenga ikiwa una uhakika wa ratiba yako ya pesa. Pazuri sananapaitaji ila kwa saiv nina robo tatu ya pesa hiyo nategemea had tarehe 5/11 kama hatopatikana mteja nitakuchek nipachukue
nyanda za juu kusini kuna potentials nyingi ambazo bado kuvumbuliwaSalama Mkuu? Vipi kuhusu umbali wa mikoa ya Rukwa na Katavi, mpaka Makambako?
"HIGH VIEW OF NJOMBE 2024 WITH SOME OPPORTUNITIES FOUND WITHIN - YouTube"
View: https://m.youtube.com/watch?v=p0pNcw6nxn0