Makambako: Serikali ipunguze matuta ya barabarani yanachelewesha muda na kuharibu vyombo vya usafiri

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Mdau wa Maendeleo toka Halmashauri ya mji Makambako Mhema Oraph ameiomba serikali ipunguze matuta ya barabarani kwani yamekuwa yanachelewesha muda na kuharibu vyombo vya usafiri.

Mhema ametoa ombi hilo kwa Waziri wa viwanda na biashara akiwa katika ziara yake ya kikazi mkoani Njombe ambapo pia amesikiliza kero zinazowakabili wafanyabiashara.

Your browser is not able to display this video.
 

Matuta yalilenga kudhibiti mwendo wa magari, yakitolewa madereva watakuwa waaminifu? Wataendesha kwa mwendo unaotakiwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…