Makambo achaguliwa 40 Bora kupata timu wachezaji 23 wa timu ya Taifa DRC

Nimemuuliza chura mmoja hapo juu,Zile machine za AS Vita,Tp Mazembe, Motema Pembe na zingine huko ufarasa unaziweka wapi mpaka huyo Makambo apate chance.

Mwambieni ajifunze kwanza kufunga mdomo
 
Matokeo yakawa ngapi ngapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimemuuliza chura mmoja hapo juu,Zile machine za AS Vita,Tp Mazembe, Motema Pembe na zingine huko ufarasa unaziweka wapi mpaka huyo Makambo apate chance.

Mwambieni ajifunze kwanza kufunga mdomo
Nimemuuliza chura mmoja hapo juu,Zile machine za AS Vita,Tp Mazembe, Motema Pembe na zingine huko ufarasa unaziweka wapi mpaka huyo Makambo apate chance.

Mwambieni ajifunze kwanza kufunga mdomo
Huyo makambo mwenyewe anazifunga tu mbao sijui Kagera Sugar akikutana na Simba ndo umuoni kabisa.
Wakati wenzie kina Mk14 wanazifunga Yanga..Azam..Al ahly na hats hiyo simba yenyewe washawahi kuifunga.
 
Safi Makambovic mzee wa kujaza, vile vibabu vya mikia vinamalizia pensheni mwakani haviwezi funga zaidi ya goli 5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…