iokote
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 601
- 875
Mechi dhidi ya Ruvu shooting alifunga bao la ushindi kavua jezi, kashangalia baada ya mechi kama kachukua ubingwa. Hizi sio tabia za wachezaji proffesional anaonekana anabahatisha.
Ona Chama kaipeleka Simba hatua ya makundi kwa goli malidhawa, kachukulia kawaida tu ni wajibu wake kama pro player. Angekuwa ndio Makambo angevua adi bukta leo.
Ona Chama kaipeleka Simba hatua ya makundi kwa goli malidhawa, kachukulia kawaida tu ni wajibu wake kama pro player. Angekuwa ndio Makambo angevua adi bukta leo.