Dah... Paparazzi [emoji13] [emoji13]Mtaani kwetu tulikua tunamwita "foto mi"
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahahaha...
Picha pozi linatafutiwa location ya maua..halafu unambiwa ushike ka ua..
Hizi alipiga huyo mzee Sidibe wa Mali miongoni mwa wapiga picha za mnato mahiri kabisa Africa alifariki last year na picha hizi zote inadaiwa alipiga yeye miaka hiyo!
mh hiyo si zamani hao wameamua kupiga hivyoNgoja nikupe vipicha unogeshe uzi wako maridadiView attachment 480436View attachment 480437
Nani huyo?Dah..... Kitambo sana hii...kabla ya kuwa Jenerali...
[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Hao ni watu wa chato au koromije?Ngoja nikupe vipicha unogeshe uzi wako maridadiView attachment 480436View attachment 480437