Makameraman wa enzi hizo

Makameraman wa enzi hizo

Ngoja nikupe vipicha unogeshe uzi wako maridadiView attachment 480436
FB_IMG_1488401946976.jpg
 
Hizi alipiga huyo mzee Sidibe wa Mali miongoni mwa wapiga picha za mnato mahiri kabisa Africa alifariki last year na picha hizi zote inadaiwa alipiga yeye miaka hiyo!
0db18ead2afb940a3b0ab7c053347ef9.jpg
7b0c9229b13bff58b5836080881f18e1.jpg
5ac32a654a3c4e36feeb90e671a72478.jpg
ef996fc38f205eb80957ffdf853fc2da.jpg
88d52f8100516bcec1f68dc979e92ecb.jpg
41b10c6d405d476068d3db8bfa32ffa6.jpg
865222bd4b8bb2f9a676486a755d9b33.jpg
377efac16e1e8b61fa3b1aaf11d22c29.jpg
f2bdb2574d641cf99a29fb2339ae84a3.jpg
2ec707f2926cbf83983e049c2576d829.jpg
a46d311a1c689a1da6f0c3e23f6d26ca.jpg

huu uzi umenifurahisha
naona kama nimeingia kwenye jumba la makumbusho ama kwenye gallery



unajua picha za zamani kama hizi zina upekee wake.

kwa uzamani wake tu zinagusa hata wale watu wasiofahamu walioko pichani ni akina nani, mtu akiona tu ukale wake anavutiwa kuzitazama


sasa, mimi nashauri kama tu wewe ulivyoziposti humu,
basi tuzikusanye na kuweka katika uzi maalum tuuite old photo gallery

na tukusanye na za wengine weengi walio tayari kutoa picha za zamani.

ili sisi watoto wa jana tuone mambo yalivyokuwa huko nyuma, na kurudisha kumbukumbu kwenu wa zamani.
 
Nani huyo?
Dah...
His Excellency, President for Life, Field Marshal Al Hadji Doctor Idi Amin Dada, VC, DSO, MC, Lord of All the Beasts of the Earth and Fishes of the Seas and Conqueror of the British Empire in Africa in General and Uganda in Particular"
🙂🙂😛
 
Back
Top Bottom