Makampuni makubwa yaanza kuukimbia mji wa San Fransisco

Makampuni makubwa yaanza kuukimbia mji wa San Fransisco

KISIWAGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
8,022
Reaction score
16,563
Mji wa SanFransisco kule marekani umekumbwa na tatizo la ukosefu mkubwa wa usalama kiasi cha kuyalazimu baadhi ya makampuni makubwa kufunga office zao zilizoko huko

Ukosefu wa usalama kwa kiasi kikubwa umesababishwa na ongezeko kubwa la watu wasio na makazi(homeless) hali iliyochangiwa na ongezeko la kodi ya pango


Inasemekana kwa sasa gharama ya pango hapo San Fransisco zi zaidi ya $3000 kwa mwezi

Mpaka dakika hii taarifa inakufikia unaambiwa mji umejaa vinyesi na mikojo ya mahomless wanaokojoa na kunya mahali popote kama mabata na mpaka sasa imewalazimu watengenezaji wa app kutengeneza app inayowasaidia watu kutokukanyaga vinyesi barabarani wakati wa usiku
 
Mji wa SanFransisco kule marekani umekumbwa na tatizo la ukosefu mkubwa wa usalama kiasi cha kuyalazimu baadhi ya makampuni makubwa kufunga office zao zilizoko huko

Ukosefu wa usalama kwa kiasi kikubwa umesababishwa na ongezeko kubwa la watu wasio na makazi(homeless) hali iliyochangiwa na ongezeko la kodi ya pango


Inasemekana kwa sasa gharama ya pango hapo San Fransisco zi zaidi ya $3000 kwa mwezi

Mpaka dakika hii taarifa inakufikia unaambiwa mji umejaa vinyesi na mikojo ya mahomless wanaokojoa na kunya mahali popote kama mabata na mpaka sasa imewalazimu watengenezaji wa app kutengeneza app inayowasaidia watu kutokukanyaga vinyesi barabarani wakati wa usiku
Chanzo tasafali
 
Mji wa SanFransisco kule marekani umekumbwa na tatizo la ukosefu mkubwa wa usalama kiasi cha kuyalazimu baadhi ya makampuni makubwa kufunga office zao zilizoko huko

Ukosefu wa usalama kwa kiasi kikubwa umesababishwa na ongezeko kubwa la watu wasio na makazi(homeless) hali iliyochangiwa na ongezeko la kodi ya pango


Inasemekana kwa sasa gharama ya pango hapo San Fransisco zi zaidi ya $3000 kwa mwezi

Mpaka dakika hii taarifa inakufikia unaambiwa mji umejaa vinyesi na mikojo ya mahomless wanaokojoa na kunya mahali popote kama mabata na mpaka sasa imewalazimu watengenezaji wa app kutengeneza app inayowasaidia watu kutokukanyaga vinyesi barabarani wakati wa usiku
🤣🤣🤣 Aiseee
 
Mji wa SanFransisco kule marekani umekumbwa na tatizo la ukosefu mkubwa wa usalama kiasi cha kuyalazimu baadhi ya makampuni makubwa kufunga office zao zilizoko huko

Ukosefu wa usalama kwa kiasi kikubwa umesababishwa na ongezeko kubwa la watu wasio na makazi(homeless) hali iliyochangiwa na ongezeko la kodi ya pango


Inasemekana kwa sasa gharama ya pango hapo San Fransisco zi zaidi ya $3000 kwa mwezi

Mpaka dakika hii taarifa inakufikia unaambiwa mji umejaa vinyesi na mikojo ya mahomless wanaokojoa na kunya mahali popote kama mabata na mpaka sasa imewalazimu watengenezaji wa app kutengeneza app inayowasaidia watu kutokukanyaga vinyesi barabarani wakati wa usiku
Maskini pia wapo marekani. Tatizo Silicon valley iko kule.
 
Mji wa SanFransisco kule marekani umekumbwa na tatizo la ukosefu mkubwa wa usalama kiasi cha kuyalazimu baadhi ya makampuni makubwa kufunga office zao zilizoko huko

Ukosefu wa usalama kwa kiasi kikubwa umesababishwa na ongezeko kubwa la watu wasio na makazi(homeless) hali iliyochangiwa na ongezeko la kodi ya pango


Inasemekana kwa sasa gharama ya pango hapo San Fransisco zi zaidi ya $3000 kwa mwezi

Mpaka dakika hii taarifa inakufikia unaambiwa mji umejaa vinyesi na mikojo ya mahomless wanaokojoa na kunya mahali popote kama mabata na mpaka sasa imewalazimu watengenezaji wa app kutengeneza app inayowasaidia watu kutokukanyaga vinyesi barabarani wakati wa usiku
Uko ka mama Nancy Pelosi kanatokea uko, hakuna kanachofanya zaidi ya kumpiga spana Trump, na Trump ameapa kuwa mwaka huu lazima Republican wachukue Congress ili katoke kwenye usipika
 
Uko ka mama Nancy Pelosi kanatokea uko, hakuna kanachofanya zaidi ya kumpiga spana Trump, na Trump ameapa kuwa mwaka huu lazima Republican wachukue Congress ili katoke kwenye usipika
Huyo ni mwiba mchungu Kwa wa democratic,wakimsikia bw.trumpet🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃
 
Mji wa SanFransisco kule marekani umekumbwa na tatizo la ukosefu mkubwa wa usalama kiasi cha kuyalazimu baadhi ya makampuni makubwa kufunga office zao zilizoko huko

Ukosefu wa usalama kwa kiasi kikubwa umesababishwa na ongezeko kubwa la watu wasio na makazi(homeless) hali iliyochangiwa na ongezeko la kodi ya pango


Inasemekana kwa sasa gharama ya pango hapo San Fransisco zi zaidi ya $3000 kwa mwezi

Mpaka dakika hii taarifa inakufikia unaambiwa mji umejaa vinyesi na mikojo ya mahomless wanaokojoa na kunya mahali popote kama mabata na mpaka sasa imewalazimu watengenezaji wa app kutengeneza app inayowasaidia watu kutokukanyaga vinyesi barabarani wakati wa usiku
Bongo sihami,imagine us vinyesi kila mahali 😆😆
 
Back
Top Bottom