Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkubwa makampuni hayaikimbii San Fransisco kwa sababu ya kodi ya pango bali kwa sababu ya kuongezeka kwa uharifu unaofanywa na mahomelessWamesema wanakwenda wapi? Mbona kodi ni kama ya Masaki na Oysterbay tu?
Inafanya kazi kwa users kuupload location ya vinyesi
Watu wajuaji for nothing kama nyie nawachukia sana, ww unaulizwa nini maana ya silcon valey unazidi tu kujichimbia et ipo San Francisco. Una akiri kweli au na ww unatokea kanda ya magharibiSilicon valley ipo sanfransisco. Hakuna namna makampuni makubwa yataondoka kule. Sanasana hao wahalifu watatolewa kwa speed ya ajabu.
Jamaa hakwepeshi maneno, jamaa ana jeuri, pesa anayo, wafuasi anao, attention anayo, Democrats hawana hamu na TrumpHuyo ni mwiba mchungu Kwa wa democratic,wakimsikia bw.trumpet[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Acha ujinga wewe. Hujui Google mpaka uwe unabweka hapa? Pumbavu.Watu wajuaji for nothing kama nyie nawachukia sana, ww unaulizwa nini maana ya silcon valey unazidi tu kujichimbia et ipo San Francisco. Una akiri kweli au na ww unatokea kanda ya magharibi
Ok.kumbe haidhurumkubwa makampuni hayaikimbii San Fransisco kwa sababu ya kodi ya pango bali kwa sababu ya kuongezeka kwa uharifu unaofanywa na mahomeless
Inafanya kazi kwa users kuupload location ya vinyesi
Akina dayadipora hawakosekani hapo😀😀Mji wa SanFransisco kule marekani umekumbwa na tatizo la ukosefu mkubwa wa usalama kiasi cha kuyalazimu baadhi ya makampuni makubwa kufunga office zao zilizoko huko
Ukosefu wa usalama kwa kiasi kikubwa umesababishwa na ongezeko kubwa la watu wasio na makazi(homeless) hali iliyochangiwa na ongezeko la kodi ya pango
Inasemekana kwa sasa gharama ya pango hapo San Fransisco zi zaidi ya $3000 kwa mwezi
Mpaka dakika hii taarifa inakufikia unaambiwa mji umejaa vinyesi na mikojo ya mahomless wanaokojoa na kunya mahali popote kama mabata na mpaka sasa imewalazimu watengenezaji wa app kutengeneza app inayowasaidia watu kutokukanyaga vinyesi barabarani wakati wa usiku
Wako Busy kusema wanasaidia Ukraine si wachukue hela hizo wasafishie mji na zingine wajengee majengo homeless yao?