Tetesi: Makampuni ya simu kutoa GB 10 kama kufidia hasara na kuomba radhi kwa watumiaji wa mitandao ya simu

Ndugu Mtej, Tunapenda kukujulisha kuwa huduma ya intaneti imerejea kwenye kasi yake. Endelea kufurahia huduma za halotel. Asante!
Hawajatoa hata mb 1
 
2 GB only
Nadhani thamani hiyo inategemea na mtumiaji alikuwa anatumia kiasi gani kabla ya changamoto kutokea
 
HII NDO ILIYOMPIGISHA bAN HUYU MWAMBA?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…