Tetesi: Makampuni ya simu kutoa GB 10 kama kufidia hasara na kuomba radhi kwa watumiaji wa mitandao ya simu

Tetesi: Makampuni ya simu kutoa GB 10 kama kufidia hasara na kuomba radhi kwa watumiaji wa mitandao ya simu

Mkuu hizi tetesi zimethibitishwa?Nawaza na hivi watu hawajapata fresh porn for some days halafu inarudi full mnara na 10Gb free bundle,nahisi wabongo watapiga nyeto hadi wafe.
daaah! nmecheka sanaa..
umefikiria nini mkuu?
 
Mimi Jumapili Vodacom walinifidia kwa kunipa mb 100, dakika 10 na sms sikumbuki zilikuwa ngapi, 24 hours! Wameweka saa nane za usiku! Nimeona kesho yake muda umeenda.
 
Hv kwenye terms &conditions huwa mnasoma zote au mna agree tu!?
 
Hv kwenye terms &conditions huwa mnasoma zote au mna agree tu!?
 
Hv kwenye terms &conditions huwa mnasoma zote au mna agree tu!?
 
Thubutuuuu...! Mitandao ya wapi ikugawie wewe za bure?. Nchi ipi?. Hii hii wamo akina miguru?
 
Nnchi zetu za africa viongozi huwa hawataki kuwajibika kwa wenzetu kukosekana kwa huduma ya intanet uwajibikaji ungekuwepo
 
Nyepesi nyepesi;
Nimepata taarifa kuwa jana jumatatu makampuni yote ya simu yanayotoa huduma hapa nchini kuwa wamekaa na kujadili jinsi ya kutatua changamoto na kufidia hasara kwa watumiaji wa mtandao.

Hivyo wamekubaliana kutoa GB 10 kwa kila mtumiaji wa mtandao kama kufidia hasara za bundle walizokutana nazo.

Hizo fidia za bundle zitaanza baada ya huduma kurekebishwa, wamesema ndani ya wiki hii tatizo litakuwa limeisha.

Kila laini itapata GB 10, hata kama una laini 5 basi ukijumlisha utakuwa na GB 50.

Wekeni simu zenu chaji, neema inakuja.
😀 Yaani Hayo Makampuni ya Simu ndio Wamewaambia tatizo Linaisha Wiki Hii?
 
Back
Top Bottom