covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Duh..we nifah ulifika mbali sana!🤣🤣🤣🤣Yaleyale ya makinikia kila mmoja atapata Noah wengine tukachagua hadi rangi kabisa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh..we nifah ulifika mbali sana!🤣🤣🤣🤣Yaleyale ya makinikia kila mmoja atapata Noah wengine tukachagua hadi rangi kabisa!
Huu ni uongo wa mchana kweupeNyepesi nyepesi;
Nimepata taarifa kuwa jana jumatatu makampuni yote ya simu yanayotoa huduma hapa nchini kuwa wamekaa na kujadili jinsi ya kutatua changamoto na kufidia hasara kwa watumiaji wa mtandao.
Hivyo wamekubaliana kutoa GB 10 kwa kila mtumiaji wa mtandao kama kufidia hasara za bundle walizokutana nazo.
Hizo fidia za bundle zitaanza baada ya huduma kurekebishwa, wamesema ndani ya wiki hii tatizo litakuwa limeisha.
Kila laini itapata GB 10, hata kama una laini 5 basi ukijumlisha utakuwa na GB 50.
Wekeni simu zenu chaji, neema inakuja.
Hongera kaka😂😁Tigo walinipa GB 1 jumapili saivi wasiponipa sitojali
Naunga mkono hojaKwa usimamizi wa serikali hii ya mtu mweusi?
Sure baada ya mtandao kukaa sawa wananchi wajiandae kulipia fidia indirect.
Ukiweka GB 1 dk kumi tu bandle limekata
Sawa kitombi.Nyepesi nyepesi;
Nimepata taarifa kuwa jana jumatatu makampuni yote ya simu yanayotoa huduma hapa nchini kuwa wamekaa na kujadili jinsi ya kutatua changamoto na kufidia hasara kwa watumiaji wa mtandao.
Hivyo wamekubaliana kutoa GB 10 kwa kila mtumiaji wa mtandao kama kufidia hasara za bundle walizokutana nazo.
Hizo fidia za bundle zitaanza baada ya huduma kurekebishwa, wamesema ndani ya wiki hii tatizo litakuwa limeisha.
Kila laini itapata GB 10, hata kama una laini 5 basi ukijumlisha utakuwa na GB 50.
Wekeni simu zenu chaji, neema inakuja.
THUBUTUUUUU..........!!!Nyepesi nyepesi;
Nimepata taarifa kuwa jana jumatatu makampuni yote ya simu yanayotoa huduma hapa nchini kuwa wamekaa na kujadili jinsi ya kutatua changamoto na kufidia hasara kwa watumiaji wa mtandao.
Hivyo wamekubaliana kutoa GB 10 kwa kila mtumiaji wa mtandao kama kufidia hasara za bundle walizokutana nazo.
Hizo fidia za bundle zitaanza baada ya huduma kurekebishwa, wamesema ndani ya wiki hii tatizo litakuwa limeisha.
Kila laini itapata GB 10, hata kama una laini 5 basi ukijumlisha utakuwa na GB 50.
Wekeni simu zenu chaji, neema inakuja.
Hawana ulazima, na hawatatoa hata Mb1Kuna ulazima gani wao kutoa hizo gb?
Yaani ni sawa na mie nafanya biashara ya kuuza maji nyumbani kwangu, siku dawasco wakate maji na kusababisha ukosefu wa maji mtaa mzima, halafu siku yakirudi niseme nitawafidia ndoo moja moja mtaa mzima kutokana na shida iliyojitokeza
Comments reservedNyepesi nyepesi;
Nimepata taarifa kuwa jana jumatatu makampuni yote ya simu yanayotoa huduma hapa nchini kuwa wamekaa na kujadili jinsi ya kutatua changamoto na kufidia hasara kwa watumiaji wa mtandao.
Hivyo wamekubaliana kutoa GB 10 kwa kila mtumiaji wa mtandao kama kufidia hasara za bundle walizokutana nazo.
Hizo fidia za bundle zitaanza baada ya huduma kurekebishwa, wamesema ndani ya wiki hii tatizo litakuwa limeisha.
Kila laini itapata GB 10, hata kama una laini 5 basi ukijumlisha utakuwa na GB 50.
Wekeni simu zenu chaji, neema inakuja.
Bora waache tu maana vijana wa CHADEMA watatumia kutukana watanzania wenzao.Nyepesi nyepesi;
Nimepata taarifa kuwa jana jumatatu makampuni yote ya simu yanayotoa huduma hapa nchini kuwa wamekaa na kujadili jinsi ya kutatua changamoto na kufidia hasara kwa watumiaji wa mtandao.
Hivyo wamekubaliana kutoa GB 10 kwa kila mtumiaji wa mtandao kama kufidia hasara za bundle walizokutana nazo.
Hizo fidia za bundle zitaanza baada ya huduma kurekebishwa, wamesema ndani ya wiki hii tatizo litakuwa limeisha.
Kila laini itapata GB 10, hata kama una laini 5 basi ukijumlisha utakuwa na GB 50.
Wekeni simu zenu chaji, neema inakuja.
10GB granted will be equivalent to 5GB;alisikika chizi mmoja aliyechanganyikiwa baada ya mkongo wa mawasiliano kuleta shida!Nyepesi nyepesi;
Nimepata taarifa kuwa jana jumatatu makampuni yote ya simu yanayotoa huduma hapa nchini kuwa wamekaa na kujadili jinsi ya kutatua changamoto na kufidia hasara kwa watumiaji wa mtandao.
Hivyo wamekubaliana kutoa GB 10 kwa kila mtumiaji wa mtandao kama kufidia hasara za bundle walizokutana nazo.
Hizo fidia za bundle zitaanza baada ya huduma kurekebishwa, wamesema ndani ya wiki hii tatizo litakuwa limeisha.
Kila laini itapata GB 10, hata kama una laini 5 basi ukijumlisha utakuwa na GB 50.
Wekeni simu zenu chaji, neema inakuja.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaleyale ya makinikia kila mmoja atapata Noah wengine tukachagua hadi rangi kabisa!
Hawawezi kuthubutu kufanya hivyo.
Wakijikaza sana basi ni MB 200 ama la, kila mmoja arudishiwe kiwango cha MB alichokuwa nacho wakati tatizo likitokea.