Tetesi: Makampuni ya simu kutoa GB 10 kama kufidia hasara na kuomba radhi kwa watumiaji wa mitandao ya simu

Tetesi: Makampuni ya simu kutoa GB 10 kama kufidia hasara na kuomba radhi kwa watumiaji wa mitandao ya simu

Nyepesi nyepesi;
Nimepata taarifa kuwa jana jumatatu makampuni yote ya simu yanayotoa huduma hapa nchini kuwa wamekaa na kujadili jinsi ya kutatua changamoto na kufidia hasara kwa watumiaji wa mtandao.

Hivyo wamekubaliana kutoa GB 10 kwa kila mtumiaji wa mtandao kama kufidia hasara za bundle walizokutana nazo.

Hizo fidia za bundle zitaanza baada ya huduma kurekebishwa, wamesema ndani ya wiki hii tatizo litakuwa limeisha.

Kila laini itapata GB 10, hata kama una laini 5 basi ukijumlisha utakuwa na GB 50.

Wekeni simu zenu chaji, neema inakuja.
Huu ni uongo wa mchana kweupe
 
Nyepesi nyepesi;
Nimepata taarifa kuwa jana jumatatu makampuni yote ya simu yanayotoa huduma hapa nchini kuwa wamekaa na kujadili jinsi ya kutatua changamoto na kufidia hasara kwa watumiaji wa mtandao.

Hivyo wamekubaliana kutoa GB 10 kwa kila mtumiaji wa mtandao kama kufidia hasara za bundle walizokutana nazo.

Hizo fidia za bundle zitaanza baada ya huduma kurekebishwa, wamesema ndani ya wiki hii tatizo litakuwa limeisha.

Kila laini itapata GB 10, hata kama una laini 5 basi ukijumlisha utakuwa na GB 50.

Wekeni simu zenu chaji, neema inakuja.
Sawa kitombi.
 
Nyepesi nyepesi;
Nimepata taarifa kuwa jana jumatatu makampuni yote ya simu yanayotoa huduma hapa nchini kuwa wamekaa na kujadili jinsi ya kutatua changamoto na kufidia hasara kwa watumiaji wa mtandao.

Hivyo wamekubaliana kutoa GB 10 kwa kila mtumiaji wa mtandao kama kufidia hasara za bundle walizokutana nazo.

Hizo fidia za bundle zitaanza baada ya huduma kurekebishwa, wamesema ndani ya wiki hii tatizo litakuwa limeisha.

Kila laini itapata GB 10, hata kama una laini 5 basi ukijumlisha utakuwa na GB 50.

Wekeni simu zenu chaji, neema inakuja.
THUBUTUUUUU..........!!!
 
Kuna ulazima gani wao kutoa hizo gb?

Yaani ni sawa na mie nafanya biashara ya kuuza maji nyumbani kwangu, siku dawasco wakate maji na kusababisha ukosefu wa maji mtaa mzima, halafu siku yakirudi niseme nitawafidia ndoo moja moja mtaa mzima kutokana na shida iliyojitokeza
Hawana ulazima, na hawatatoa hata Mb1
 
Zina
Nyepesi nyepesi;
Nimepata taarifa kuwa jana jumatatu makampuni yote ya simu yanayotoa huduma hapa nchini kuwa wamekaa na kujadili jinsi ya kutatua changamoto na kufidia hasara kwa watumiaji wa mtandao.

Hivyo wamekubaliana kutoa GB 10 kwa kila mtumiaji wa mtandao kama kufidia hasara za bundle walizokutana nazo.

Hizo fidia za bundle zitaanza baada ya huduma kurekebishwa, wamesema ndani ya wiki hii tatizo litakuwa limeisha.

Kila laini itapata GB 10, hata kama una laini 5 basi ukijumlisha utakuwa na GB 50.

Wekeni simu zenu chaji, neema inakuja.
Comments reserved
 
Nyepesi nyepesi;
Nimepata taarifa kuwa jana jumatatu makampuni yote ya simu yanayotoa huduma hapa nchini kuwa wamekaa na kujadili jinsi ya kutatua changamoto na kufidia hasara kwa watumiaji wa mtandao.

Hivyo wamekubaliana kutoa GB 10 kwa kila mtumiaji wa mtandao kama kufidia hasara za bundle walizokutana nazo.

Hizo fidia za bundle zitaanza baada ya huduma kurekebishwa, wamesema ndani ya wiki hii tatizo litakuwa limeisha.

Kila laini itapata GB 10, hata kama una laini 5 basi ukijumlisha utakuwa na GB 50.

Wekeni simu zenu chaji, neema inakuja.
Bora waache tu maana vijana wa CHADEMA watatumia kutukana watanzania wenzao.
 
Nyepesi nyepesi;
Nimepata taarifa kuwa jana jumatatu makampuni yote ya simu yanayotoa huduma hapa nchini kuwa wamekaa na kujadili jinsi ya kutatua changamoto na kufidia hasara kwa watumiaji wa mtandao.

Hivyo wamekubaliana kutoa GB 10 kwa kila mtumiaji wa mtandao kama kufidia hasara za bundle walizokutana nazo.

Hizo fidia za bundle zitaanza baada ya huduma kurekebishwa, wamesema ndani ya wiki hii tatizo litakuwa limeisha.

Kila laini itapata GB 10, hata kama una laini 5 basi ukijumlisha utakuwa na GB 50.

Wekeni simu zenu chaji, neema inakuja.
10GB granted will be equivalent to 5GB;alisikika chizi mmoja aliyechanganyikiwa baada ya mkongo wa mawasiliano kuleta shida!
 
Hawawezi kuthubutu kufanya hivyo.

Wakijikaza sana basi ni MB 200 ama la, kila mmoja arudishiwe kiwango cha MB alichokuwa nacho wakati tatizo likitokea.
 

Attachments

  • Ew1tDm8XMAAR9n3.jpg
    Ew1tDm8XMAAR9n3.jpg
    22.8 KB · Views: 2
Back
Top Bottom