Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu watazirudisha .yaani unaweza kuta baada ya situ tatu bando limeishaNyepesi nyepesi;
Nimepata taarifa kuwa jana jumatatu makampuni yote ya simu yanayotoa huduma hapa nchini kuwa wamekaa na kujadili jinsi ya kutatua changamoto na kufidia hasara kwa watumiaji wa mtandao.
Hivyo wamekubaliana kutoa GB 10 kwa kila mtumiaji wa mtandao kama kufidia hasara za bandle walizokutana nazo.
hizo fidia za bandle zitaanza baada ya huduma kurekebishwa.
wamesema ndani ya wiki hii tatizo litakuwa limeisha.
kila laini itapata GB 10, hata kama una laini 5 basi ukijumlisha utakuwa na GB 50.
wekeni simu zenu chaji, neema inakuja...
Mbona hujasema zisipotolewa upigwe ban?subiri uone
yaan mm ata watoe baada ya masaa matatu ntazimaliza😄😄Halafu watazirudisha .yaani unaweza kuta baada ya situ tatu bando limeisha
Nani ambae hana gari?Wabongo na kitonga bn duh! Anyway tununueni magari jamani wakitoa hizo GB 10 unazitumia uko ndani ya ndinga yako unakula kiyoyozi. Mashallah
Ninazo 5 ni mwendo wa kupakua magomahaifiki Ijumaa laini yako itapata GB 10
UnauzaNani ambae hana gari?
Mtandao ganiWatatoa ila sio gb 10. Nahisi wameisha toa hicho kidogo naona kijibando changu hakiishi kilitakiwa kiishe jana
Mara 5😂🤣😁😁😁hawatoi bando hao wataishia kutupa mb 400 au 500
Mleta madaNani ambae hana gari?
Ngoja tuone kama watatupa 🤣😂😁😁Mara 5
Tigo walinipa GB 1 jumapili saivi wasiponipa sitojaliNgoja tuone kama watatupa 🤣😂😁😁