Makampuni ya simu yadharau agizo la Serikali (TCRA)

Kuhama vodacom haiwezekeni...mpesa ndio inaaminika kuliko kina tigo...4G iko fresh...kwanini tuhame?..wapunguze bei hatutaki kukimbia tatizo
 
Sasa kama iko kwa top ten ndo isisikilize amri toka juu?
Sister kwa kweli hata mimi nimeshangazwa na Vodacom nilidhani jeuri ni kwa mamlaka za chini kumbe hata juu. Sipo katika sekta ya Telecommunications lakini taarifa zinaeleza Vodacom wanasikilizwa sana sababu ni manguli wa ulipaji kodi.
 

TUTA MMISS MZEE WETU.! CHUMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…