Makampuni ya Tanzania ya usafirishaji yanakwama wapi, maana yanasababisha nchi inaingia kwenye migogoro na majirani wote

Makampuni ya Tanzania ya usafirishaji yanakwama wapi, maana yanasababisha nchi inaingia kwenye migogoro na majirani wote

tumekosana na majirani gani zaidi ya nyinyi mapapai!!!

kama focus yenu ni afya ya wakenya,sisi tunawasaidia kufunga mipaka ili mbaki salama.hatuwezi kushinda tunasumbuana na mwanaume mwenye ndevu na m@vuuzi ya matako anyejifanya mtoto wa kike.




Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app

Fuatilia taarifa za nchi yako uone mnavyozingua, halafu nyie ktovu cha uchafu wote, corona, omba omba, ugaidi yaani mnakera majirani wote, hebu ona mnachokifanya huko SADC

2417088_Screenshot_20200603-161430.png
 
Fuatilia taarifa za nchi yako uone mnavyozingua, halafu nyie ktovu cha uchafu wote, corona, omba omba, ugaidi yaani mnakera majirani wote, hebu ona mnachokifanya huko SADC

2417088_Screenshot_20200603-161430.png
Wafuasi wa kikundi ni wa wapi
 
Kingine kinachowezekana ni maabara ya pamoja hapo mpakani ambayo itumike na wataalam wa pande zote mbili wakishirikiana kwa pamoja, yaani dereva aidha Mkenya au Mtanzania anaingia na kuwakuta wataalam wa kwao na wa nchi jirani hapo, anapimwa huku wakishuhudia wote na kujiondokea, hii itateleza vizuri sana maana akiondoka hapo ameridhisha mataifa yote mawili, akigunduliwa na kirusi anapokezwa kwa watu wake papo hapo.
Lakini hili la mtu amekatiza kutoka Dar na kijikaratasi cha kuonyesha mpakani sio kabisa, kwanza hata inawezekana kweli kapima Dar na kukutwa bila, ila kwa walivyo na muingiliano, unakuta labda kalala kigesti uchwara sehemu Moshi, yaani mpaka anafika Namanga keshajimix balaa halafu anachomoa kijikaratasi eti cheti na hataki apimwe tena.

Mkuu tatizo ni nia njema. Kuna upande hapa hautambui Corona ni ugonjwa hatari ambao upo na kuwa eti unauwa. Upande huu hautambui kuwa ugonjwa huu ungepigwa vita kwa kuwa na takwimu rasmi na sahihi. Upande huu umechagua maisha ya kijima, ya kale au ya kishirikina.

Upande huu mpimaji virusi ukimkagua vizuri utakuta kabeba bunduki. Si mtalaam wa afya bali ni mtalaam wa kutumia bunduki.

Wa upande huo hathamini utaalamu wa daktari katika kupambana na Corona. Bali aliyebeba bunduki kuwa yeye ndiye mlinzi kweli kweli.

Wanasema ukiyastajaabu ya Mussa basi utayaona ya upande huu.
 
Kenya hawana ubavu huo wakufunga mpaka na Tz

Mkuu sidhani kama ni suala la mbavu. Ni suala la nini kila mtu anataka.

Kenya hawataki Corona. Shughuli zao nyingi zimesimama wakipambana na ugonjwa huu wakati sisi Tukichapa kazi wa kufa na Corona watajiju.

Kenya wanatambua ugonjwa huu ni hatari na kuwa heri uchumi wao ufe lakini wajaribu kuokoa maisha yao wakijaribu kupambana nao. Kwetu ugonjwa huu si kipaumbele, si hatari, ni kaupepo tu katapita tu.

Wakati sisi tumeamua kuishi nao kwamba wenye kufa acha wafe na wenye kuishi waishi hadi pale tiba au chanjo beberu atakapozipata, wenzetu wako tayari kuishi nao lakini ugonjwa ukiwa umedhibitiwa vilivyo.

Mitizamo miwili hii hapa ni tofauti mno na hamna popote inapokutana!

Hapa kila mmoja ba achukue njia yake tumeshindwa kuwa na common protocol.

Corona: EAC kutokuwapo protokali moja, janga hili bado sana.
 
MK254 nilivyoona hili jina nikajua lazima kuna mtu anakuja kuandika mabo ambayo hayapo,ila nyie watu wadogo sana,tunawawekea tu mwanamke mmoja toka mitaa ya Kilimanjaro anawashikisha adabu.
Hebu Tanzania hata msije hata uchaguzi wenu ukifika bakini huko huko na licorona lenu.
Chukua tahadhari,Nawa mikono kwa sabuni.tembea na kitakasa mikono,vaa barakoa,ukiingia hata Jf ingia kwa tahadhari usije ambukizwa Corona.
Tuna waletea mwanamke hapo mpakani aje kuwatoa wenge.
 
Njia itafutwe ya kumaliza hii issue kabisa, aidha tuwekeane bandari kavu mipakani kila mtu abaki kwao, au madereva waajiriwe kwenye kila taifa la pili, lakini ukweli utabaki pale pale, lazima upimwe upimwe upimwe, hapiti mtu...kwa cheti au makaratasi ya kariokoo lazima upimwe.
Si mlishaamua hilo toka mwanzo na mpaka mkafunga?
Ni Rais wenu aliepiga simu kuomba kila mtu apimwe kwao,hayo mengine umeongeza wewe
Sisi hatuna tabu tupo tayari kila abaki kwake,tuone nani atateseka
 
Mkuu sidhani kama ni suala la mbavu. Ni suala la nini kila mtu anataka.

Kenya hawataki Corona. Shughuli zao nyingi zimesimama wakipambana na ugonjwa huu wakati sisi Tukichapa kazi wa kufa na Corona watajiju.

Kenya wanatambua ugonjwa huu ni hatari na kuwa heri uchumi wao ufe lakini wajaribu kuokoa maisha yao wakijaribu kupambana nao. Kwetu ugonjwa huu si kipaumbele, si hatari, ni kaupepo tu katapita tu.

Wakati sisi tumeamua kuishi nao kwamba wenye kufa acha wafe na wenye kuishi waishi hadi pale tiba au chanjo beberu atakapozipata, wenzetu wako tayari kuishi nao lakini ugonjwa ukiwa umedhibitiwa vilivyo.

Mitizamo miwili hii hapa ni tofauti mno na hamna popote inapokutana!

Hapa kila mmoja ba achukue njia yake tumeshindwa kuwa na common protocol.

Corona: EAC kutokuwapo protokali moja, janga hili bado sana.
Sisi kwetu huku hakuna corona, tazama majilani zako na ndugu zako walioko mbali afu utapata jibu, we must trust in God
 
Mimi bado sijaelewa shida iko wapi! Kinachotakiwa kila nchi iwapime watu wanaoingia nchini mwake.Yaani madereva kutoka Kenya wakitaka kuingia Tanzania,Tanzania iwapime kujiridhisha kama hawana Corona,hali kadharika Kenya iwapime Watanzania wanaotaka kuingia katika nchi yake kujiridhisha kama wana Corona au hawana.
Tanzania tunavyouchukulia ugonjwa wa Corona tusiwalazimishe wa Kenya wauone ugonjwa wa Corona kama tunavyouchukulia sisi.
Wakenya bado wako sensitive na Ugonjwa wa Corona,wanauchukulia kwa tahadhari ya juu kuliko sisi.
 
Mimi bado sijaelewa shida iko wapi! Kinachotakiwa kila nchi iwapime watu wanaoingia nchini mwake.Yaani madereva kutoka Kenya wakitaka kuingia Tanzania,Tanzania iwapime kujiridhisha kama wana Corona,hali kadharika Kenya iwapime Watanzania wanaotaka kuingia katika nchi yake.
Tanzania tunavyochukulia ugonjwa wa Corona tusiwalazimishe wa Kenya kuuona ugonjwa wa Corona kama tunavyouona.

Utaratibu unaopendekeza ni muafaka sana Ila tatizo ni kuwa Tanzania haiutaki.

Tanzania inataka asipimwe mtu. Tanzania haihitaji kupima mtu kwake awe mgeni au mwenyeji. Inashinikiza iwe hivyo na kwa wengine. Kwamba nao kwao wasipime mtu.

Sisi kama imeamriwa Corona ni rafiki wa kucheza, kuchekeana na kuishi naye, kwingine sivyo. Tunapashwa kufahamu na kuheshimu hilo.

Kinyume cha hapo kila mtu na achukue hamsini zake huu mpaka upigwe kufuli kwani ustaarabu wa daraja la chini tu umetushinda.
 
Tafuta mzee yeyote akuelimishe kuhusu umaskini uliokuwepo Tanzania kipindi cha Nyerere na sera zake, wengi walipitia mateso makubwa na mpaka leo hamjapona kabisa, Kenya ndio mshirika mkubwa wa Tanzania likija kwenye suala la biashara baina yenu na mataifa majirani. Siku tukifungiana kabisa mtarudi nyuma mpaka mjihurumie.

Tunachokitegemea kikubwa kutoka kwenu ni mazao ya shambani, kitu ambacho kwa jeuri ya hela zetu tunawaeza tukaagiza kwingine, ila nyie mtakosa soko na kukoma umaskini ukizingatia hata sasa nyie bado maskini wa kutupwa, sasa ukija kuongeza umaskini mwingine wa kukosa soko, ndio mtalia kwa kusaga meno.
Umasikini uliopo Leo Kenya ni mkubwa kuliko mkumbizi aliyopo kambi ya wakimbizi za Burundi maisha ya slum hapo Nairobi ,hakuna kambi yoyote ya wakimbizi inayo fanana na slum za Nairobi

Send by APOLO 1
 
Ona ulivyo mweupe kichwan sasa

Kwahyo hzo trn 32+ za budget zinatoka wap??
Umekariri kuwa serikal inajiendesha kwa mapato ya kodi tu

Hujui kuna
Mikopo
Grants
Gawio kutoka kwenye mashirika yake
Fine mbali mbali
Na mengine mengi
Hivi unaona trillion ni kitu kidogo sana?

Sasa kama iliibiwa kutoka kwenye mradi ni mradi upi umekwama? Sababu miradi yote ndio kwaaanza inapamba moto!

Na ni wapi kwenye report ya CAG kaonesha huo uwizi?
 
Kenya ipo @ $1.2B, exports kwa nchi tatu tu za AM, Tz, UG, RW na hapo UG tu, ambayo huwa inanua nusu ya bidhaa zote zinazouzwa na Kenya hapa AM, ndio ipo kwenye top 10 ya nchi ambazo Kenya inafanya exports kwa wingi. Sijui kama umeielewa hoja yangu? Alafu hakuna nchi yeyote ukanda huu wa Afrika Mashariki na ya kati ambayo inauzia Kenya bidhaa nyingi zaidi ya inazonunua kutoka Kenya. Hayo kando, mbona umejitia hamnazo kuhusu hizo takwimu zingine? Au unapuuza kwamba Kenya iliuzia Tz bidhaa za thamani ya $335M mwaka jana na Tz ikauzia Kenya bidhaa za thamani ya $270M tu ili uendelee na zile propaganda zako za sijui mnatulisha na eti hakuna Kenya bila Tz? [emoji1]
Hivi hilo la kuwalisha nalo ni mjadala?

Halafu kwa mfumo tunaowauzia chakula ulivyo haupo audited na mamlaka za kimapato sababu haulipiwi kodi huko mipakani

Matunda, nafaka na mazao ya vegetables yanapita mipakani bila mlolongo wa kodi kama finished products so uzitoe kabisa huko kwenye takwimu za mauzo kati ya nchi

Laiti zingerasimishwa ungekuta Tanzania inaiuzia Kenya biashara yenye thamani ya $ billion 100
 
Halafu mlivyo wa hovyoo, kila kiongozi kwenu anatupia matamko bila kujua kichwa ni nani kwenye nchi, yaani eti DC/mkuu wa wilaya ndiye anafunga mpaka.
Yote tisa, hatuwezi kuruhusu mtuambukize huo ujinga wenu wa kucheza na corona, kama mumeamua kuzikana huko kimya kimya kisa umaskini myafanye ila sisi ni middle income, lazima tujali maslahi na afya ya watu wetu, sio kuwatelekeza wajifie kama mangurue bila tahadhari yoyote.
Acha kupiga kelele.border ya kenya kinachokupitisha ni hela yako tu hata Kama una corona.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Budget ya afya tu imetekelezwa chini ya asilimia 75, kilimo chini ya asilimia 50, unauliza ni mrad upi umekwama?
Hivi unaona trillion ni kitu kidogo sana?

Sasa kama iliibiwa kutoka kwenye mradi ni mradi upi umekwama? Sababu miradi yote ndio kwaaanza inapamba moto!

Na ni wapi kwenye report ya CAG kaonesha huo uwizi?
 
Sisi kwetu huku hakuna corona, tazama majilani zako na ndugu zako walioko mbali afu utapata jibu, we must trust in God

Mkuu wewe unaongelea majirani au ndugu tu? Umeona hapa:

IMG_20200606_083224_118.jpg


Hili mbona limeongelewa sana humu JF likaangazia makundi yote hayo hadi likaeleweka? Mbona unaoongelea wewe ndugu na majirani zangu tu ni watakuwa ni ka sampuli kadogo zaidi?

Mkuu, uliuona huu uzi?

Tufanye tathimini ya janga la corona Tanzania

Comments #15 na #17 na nukuu zake zinahusika zaidi.

Sehemu ya comment #15 hii hapa:

IMG_20200606_084955_249.jpg


Sehemu ya comment #17 hii hapa:

IMG_20200606_084201_272.jpg


Huu ugonjwa upo, unauwa na si sahihi sana kuudunisha eti hadi pale utakapotubishia hodi malangoni kwetu kibinafsi tu. Kwa hakika kama utaratibu uwe ni kuuchuna tu hadi mtu mmoja mmoja yamfike, mbona utakuwa ni ubinafsi wa kiwango cha juu sana?
 
Mkuu wewe unaongelea majirani au ndugu tu? Umeona hapa:

View attachment 1469924

Hili mbona limeongelewa sana humu JF likaangazia makundi yote hayo hadi likaeleweka? Mbona unaoongelea wewe ndugu na majirani zangu tu ni watakuwa ni ka sampuli kadogo zaidi?

Mkuu, uliuona huu uzi?

Tufanye tathimini ya janga la corona Tanzania

Comments #15 na #17 na nukuu zake zinahusika zaidi.

Sehemu ya comment #15 hii hapa:

View attachment 1469926

Sehemu ya comment #17 hii hapa:

View attachment 1469919

Huu ugonjwa upo, unauwa na si sahihi sana kuudunisha eti hadi pale utakapotubishia hodi malangoni kwetu kibinafsi tu. Kwa hakika kama utaratibu uwe ni kuuchuna tu hadi mtu mmoja mmoja yamfike, mbona utakuwa ni ubinafsi wa kiwango cha juu sana?
Thread hiyo sikuiona ila, ila siamini sana kwa kuupaisha huu ugonjwa, na amini hadi hapa tulipofika kwa upande wa Tz Mungu katuponya kwa jinsi nchi zingine watu wanavyokufa hadi sasa madhala yangekua yametupata.
Siombi tufike huko ila hadi hapa Mungu katuvusha me ni church boy, i truth in God tumevuka
 
Thread hiyo sikuiona ila, ila siamini sana kwa kuupaisha huu ugonjwa, na amini hadi hapa tulipofika kwa upande wa Tz Mungu katuponya kwa jinsi nchi zingine watu wanavyokufa hadi sasa madhala yangekua yametupata.
Siombi tufike huko ila hadi hapa Mungu katuvusha me ni church boy, i truth in God tumevuka

Mkuu ni wazi kuwa huo uzi ulikuwa hukuuona kabla.

Kwamba nchi zingine watu wanakufa sana? Wewe ungejuaje kama wasingekuwa wao wanatangaza taarifa zao hizo?

Mbona kuna nchi hata duni kuliko hata sisi zimekomaa tu, ati kuwa kwao hajafa hata mtu mmoja kwa ugonjwa huu. Wewe unawaamini hawa wanachosema ni kweli?

Kama sisi Mungu katuvusha kweli, tunaogopa nini kuwa na takwimu sahihi, za wakati na za wazi tu kama wanavyofanya nchi nyingine?

Kwingine kote takwimu ni za wazi na zinakuwa za ndani ya masaa 24 kama hivi:

1. Idadi ya waliopimwa
2. Idadi ya maambukizi mapya
3. Idadi ya waliopona
4. Idadi ya waliopoteza maisha.

Church boy, kwa nini sisi tunao believe katika truth in God ni vigumu kutoa takwimu kama hizo au hata zozote?

Au uelekeo wetu ni huu?

Corona: Siri ya mafanikio yetu katika hii vita

Akili za kuambiwa mkuu.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Budget ya afya tu imetekelezwa chini ya asilimia 75, kilimo chini ya asilimia 50, unauliza ni mrad upi umekwama?
Budget deficit ndio mara ya kwanza kutokea Tanzania?

Kuna tofauti kubwa kati ya budget deficit na robbed already allocated money

Mimi naongelea hiyo cash 1.5T
 
Mkuu ni wazi kuwa huo uzi ulikuwa hukuuona kabla.

Kwamba nchi zingine watu wanakufa sana? Wewe ungejuaje kama wasingekuwa wao wanatangaza taarifa zao hizo?

Mbona kuna nchi hata duni kuliko hata sisi zimekomaa tu, ati kuwa kwao hajafa hata mtu mmoja kwa ugonjwa huu. Wewe unawaamini hawa wanachosema ni kweli?

Kama sisi Mungu katuvusha kweli, tunaogopa nini kuwa na takwimu sahihi, za wakati na za wazi tu kama wanavyofanya nchi nyingine?

Kwingine kote takwimu ni za wazi na zinakuwa za ndani ya masaa 24 kama hivi:

1. Idadi ya waliopimwa
2. Idadi ya maambukizi mapya
3. Idadi ya waliopona
4. Idadi ya waliopoteza maisha.

Church boy, kwa nini sisi tunao believe katika truth in God ni vigumu kutoa takwimu kama hizo au hata zozote?

Au uelekeo wetu ni huu?

Corona: Siri ya mafanikio yetu katika hii vita

Akili za kuambiwa mkuu.
Kujua kuwa watu wanakufa kwenye nchi nyingene nimejua kupitia vyombo vya habari mfano equado na brazil watu wamekufa sana, ninavyo elewa hii ni miradi ya watu ambao wanataka watajilike kupitia ugonjwa huu, kama vitendea kazi wanatupa wao posibility ya kuweka corona kwenye vifaa nikubwa so watu wanaweza wakawa wanaambukizwa kipindi wanavyo pima Me siamini kama JMP ni mjinga kiasi hicho
Wangonjwa wa corona tz wapo ila kuendelea kutoa takwimu hofu inaongezeka so me kama church boy maandiko yananiambia hofu huleta giza kwaiyo hatuwezi tukamuacha giza (corona) aendele kutawala kama tulimwomba Mungu tuamini ivyo ivyo Mungu katuponya

Kujifungia ndani au paricial lockdown ni ukichaa kwani corona ipo usiku pikee yake, taadhali ni muhimu sana so sio kila kitu tu copy na ku pest kwenye nchi yetu kila mtu anambinu zake kama USA wamejitoa WHO maana yake hawafuati maelezo yao sisi ni nani tuendelee kushilia non sense toka kwao
 
Back
Top Bottom