Hali si shwari, Corona virus imeleta madhara makubwa katika sekta ya utalii
A - Hakuna biashara na hakuna nafuu katika miezi 3 ijayo
B - Wafanyakazi wengi sana wamepewa likizo bila malipo
C - Serikali kukosa mapato (Park entry fees $$$ £££) foreign money kwa kiasi kikubwa
D - Je, bado TRA inawadai Kodi Hoteli na Makampuni ya kitalii?
Kuna haki ya kukamua maziwa kutoka kwa Ng'ombe mwenye njaa?
Ombi kwa Mheshimiwa Waziri na Rais wetu
TRA - wasamehe Corporate tax kwa miezi 3
Wafanyakazi wa Sekta ya utalii (Private sekta) wapewe Robo ya akiba yao katika kipindi hiki cha mpito.
Lingine: Wizara ya Mali asili na utalii na TTB, wabuni mikakati ili kukabili Kipindi kigumu cha uchumi Duniani. Watalii watakuwa hawana pesa za kutosha...Kupunguza gharama za kutembelea Tanzania. Nashauri yafuatayo
A - Kupunguza JET fuel (kupunguza bei mafuta ya ndege)
B- Kupunguza landing fee ya ndege
C- Kupunguza VAT kutoka 18 hadi 12% kwenye park fee za mbuga za wanyama
D - Kupunguza Park fee kwenye mbuga za wanyama
E - LOdges kupunguziwa kodi ili na wao wapunguze room price
F - Kupunguza VISA fee
G - Kukaa na Private sector (Hotel na Kampuni za utalii) na kusikiliza Maoni.
Waziri Kigwangala alifanya vizuri sana kukaa na wadau pale mwanzoni na kusikia maoni. Waziri asichoke.
Wabunge pia waishauri serikali.
Wana JF, mnakaribishwa kwa maoni.
Uzalendo mbele kwanza..
A - Hakuna biashara na hakuna nafuu katika miezi 3 ijayo
B - Wafanyakazi wengi sana wamepewa likizo bila malipo
C - Serikali kukosa mapato (Park entry fees $$$ £££) foreign money kwa kiasi kikubwa
D - Je, bado TRA inawadai Kodi Hoteli na Makampuni ya kitalii?
Kuna haki ya kukamua maziwa kutoka kwa Ng'ombe mwenye njaa?
Ombi kwa Mheshimiwa Waziri na Rais wetu
TRA - wasamehe Corporate tax kwa miezi 3
Wafanyakazi wa Sekta ya utalii (Private sekta) wapewe Robo ya akiba yao katika kipindi hiki cha mpito.
Lingine: Wizara ya Mali asili na utalii na TTB, wabuni mikakati ili kukabili Kipindi kigumu cha uchumi Duniani. Watalii watakuwa hawana pesa za kutosha...Kupunguza gharama za kutembelea Tanzania. Nashauri yafuatayo
A - Kupunguza JET fuel (kupunguza bei mafuta ya ndege)
B- Kupunguza landing fee ya ndege
C- Kupunguza VAT kutoka 18 hadi 12% kwenye park fee za mbuga za wanyama
D - Kupunguza Park fee kwenye mbuga za wanyama
E - LOdges kupunguziwa kodi ili na wao wapunguze room price
F - Kupunguza VISA fee
G - Kukaa na Private sector (Hotel na Kampuni za utalii) na kusikiliza Maoni.
Waziri Kigwangala alifanya vizuri sana kukaa na wadau pale mwanzoni na kusikia maoni. Waziri asichoke.
Wabunge pia waishauri serikali.
Wana JF, mnakaribishwa kwa maoni.
Uzalendo mbele kwanza..