Makampuni ya Utalii na Hoteli za Kitalii

Makampuni ya Utalii na Hoteli za Kitalii

Hiyo wizara ilikuwa na kodi lukuki hadi kufanya gharama za kutalii Tanzania kuwa kubwa bila sababu za msingi.

Ni muda muafaka kupitia taratibu tulipo kosea na kurekebisha. Kuhusu wafanya biashara na wafanyakazi sekta ya utalii waandae mkakati wa mda mfupi na mrefu kujikwamua na serikali ikitupia jicho na mkono vile vile.

Ni kweli kabisa, kodi nyingi zinatufanya kukosa wageni wengi. na kupata wageni wengi kunachangamsha uchumi.

Wao wanaangalia direct money, bila kuangalia sekta nyingine kama sanaa na kilimo.

Serikali inatakiwa kusikiliza maoni ya wadau...Serikali haifanyi biashara...kuna mambo mengi hawajui
 
Hali si shwari, Corona virus imeleta madhara makubwa katika sekta ya utalii

A - Hakuna biashara na hakuna nafuu katika miezi 3 ijayo

B - Wafanyakazi wengi sana wamepewa likizo bila malipo

C - Serikali kukosa mapato (Park entry fees $$$ £££) foreign money kwa kiasi kikubwa

D - Je, bado TRA inawadai Kodi Hoteli na Makampuni ya kitalii?

Kuna haki ya kukamua maziwa kutoka kwa Ng'ombe mwenye njaa?

Ombi kwa Mheshimiwa Waziri na Rais wetu

TRA - wasamehe Corporate tax kwa miezi 3

Wafanyakazi wa Sekta ya utalii (Private sekta) wapewe Robo ya akiba yao katika kipindi hiki cha mpito.

Lingine: Wizara ya Mali asili na utalii na TTB, wabuni mikakati ili kukabili Kipindi kigumu cha uchumi Duniani. Watalii watakuwa hawana pesa za kutosha...Kupunguza gharama za kutembelea Tanzania. Nashauri yafuatayo

A - Kupunguza JET fuel (kupunguza bei mafuta ya ndege)

B- Kupunguza landing fee ya ndege

C- Kupunguza VAT kutoka 18 hadi 12% kwenye park fee za mbuga za wanyama

D - Kupunguza Park fee kwenye mbuga za wanyama

E - LOdges kupunguziwa kodi ili na wao wapunguze room price

F - Kupunguza VISA fee

G - Kukaa na Private sector (Hotel na Kampuni za utalii) na kusikiliza Maoni.

Waziri Kigwangala alifanya vizuri sana kukaa na wadau pale mwanzoni na kusikia maoni. Waziri asichoke.

Wabunge pia waishauri serikali.

Wana JF, mnakaribishwa kwa maoni.

Uzalendo mbele kwanza..
MPadmire tafuta Government Notice Namba 351 iliyochapishwa tarehe 8/5/2020; ukisoma kwa makini utagundua serikalini hawajui kama kuna anguko la biashara.
 
Hali si shwari, Corona virus imeleta madhara makubwa katika sekta ya utalii

A - Hakuna biashara na hakuna nafuu katika miezi 3 ijayo

B - Wafanyakazi wengi sana wamepewa likizo bila malipo

C - Serikali kukosa mapato (Park entry fees $$$ £££) foreign money kwa kiasi kikubwa

D - Je, bado TRA inawadai Kodi Hoteli na Makampuni ya kitalii?

Kuna haki ya kukamua maziwa kutoka kwa Ng'ombe mwenye njaa?

Ombi kwa Mheshimiwa Waziri na Rais wetu

TRA - wasamehe Corporate tax kwa miezi 3

Wafanyakazi wa Sekta ya utalii (Private sekta) wapewe Robo ya akiba yao katika kipindi hiki cha mpito.

Lingine: Wizara ya Mali asili na utalii na TTB, wabuni mikakati ili kukabili Kipindi kigumu cha uchumi Duniani. Watalii watakuwa hawana pesa za kutosha...Kupunguza gharama za kutembelea Tanzania. Nashauri yafuatayo

A - Kupunguza JET fuel (kupunguza bei mafuta ya ndege)

B- Kupunguza landing fee ya ndege

C- Kupunguza VAT kutoka 18 hadi 12% kwenye park fee za mbuga za wanyama

D - Kupunguza Park fee kwenye mbuga za wanyama

E - LOdges kupunguziwa kodi ili na wao wapunguze room price

F - Kupunguza VISA fee

G - Kukaa na Private sector (Hotel na Kampuni za utalii) na kusikiliza Maoni.

Waziri Kigwangala alifanya vizuri sana kukaa na wadau pale mwanzoni na kusikia maoni. Waziri asichoke.

Wabunge pia waishauri serikali.

Wana JF, mnakaribishwa kwa maoni.

Uzalendo mbele kwanza..
"E - Lodges kupunguziwa kodi ili na wao wapunguze room price" hapa napasubiria kwa hamu,maana Mbuga haiko mbali na ninapoishi,wakishusha tu bei naenda kulala na mimi kwenye lile li hoteli lililopo ndani ya mbuga,maana katika hali ya kawaida na umasikini wangu huu sikuwahi kutarajia itakuja kutokea mimi kulala mle ndani...
 
"E - Lodges kupunguziwa kodi ili na wao wapunguze room price" hapa napasubiria kwa hamu,maana Mbuga haiko mbali na ninapoishi,wakishusha tu bei naenda kulala na mimi kwenye lile li hoteli lililopo ndani ya mbuga,maana katika hali ya kawaida na umasikini wangu huu sikuwahi kutarajia itakuja kutokea mimi kulala mle ndani...
Kwani usingizi mmoja zile hotel zinazunguka crator ni bei gani?Nataka nivizie usingizi mmoja
 
Kwani usingizi mmoja zile hotel zinazunguka crator ni bei gani?Nataka nivizie usingizi mmoja
Hizo za huko sijui mkuu,ila hii ilioko karibu na kwangu usiku mmoja ni 1,350,000/= kwa usiku mmoja...
 
"E - Lodges kupunguziwa kodi ili na wao wapunguze room price" hapa napasubiria kwa hamu,maana Mbuga haiko mbali na ninapoishi,wakishusha tu bei naenda kulala na mimi kwenye lile li hoteli lililopo ndani ya mbuga,maana katika hali ya kawaida na umasikini wangu huu sikuwahi kutarajia itakuja kutokea mimi kulala mle ndani...
Ombea Mungu wanaweza kufikia hatua ya kuwalaza watu bure ila wanunue chakula na vinywaji. Mfano halisi ni bei ya mafuta ghafi kule Marekeani
 
Hizo za huko sijui mkuu,ila hii ilioko karibu na kwangu usiku mmoja ni 1,350,000/= kwa usiku mmoja...
Hiyo nyingi sana kwa uchumi wetu angalao ifike chini ya laki tano tunaweza kuwaunga mkono
 
Hali si shwari, Corona virus imeleta madhara makubwa katika sekta ya utalii

A - Hakuna biashara na hakuna nafuu katika miezi 3 ijayo

B - Wafanyakazi wengi sana wamepewa likizo bila malipo

C - Serikali kukosa mapato (Park entry fees $$$ £££) foreign money kwa kiasi kikubwa

D - Je, bado TRA inawadai Kodi Hoteli na Makampuni ya kitalii?

Kuna haki ya kukamua maziwa kutoka kwa Ng'ombe mwenye njaa?

Ombi kwa Mheshimiwa Waziri na Rais wetu

TRA - wasamehe Corporate tax kwa miezi 3

Wafanyakazi wa Sekta ya utalii (Private sekta) wapewe Robo ya akiba yao katika kipindi hiki cha mpito.

Lingine: Wizara ya Mali asili na utalii na TTB, wabuni mikakati ili kukabili Kipindi kigumu cha uchumi Duniani. Watalii watakuwa hawana pesa za kutosha...Kupunguza gharama za kutembelea Tanzania. Nashauri yafuatayo

A - Kupunguza JET fuel (kupunguza bei mafuta ya ndege)

B- Kupunguza landing fee ya ndege

C- Kupunguza VAT kutoka 18 hadi 12% kwenye park fee za mbuga za wanyama

D - Kupunguza Park fee kwenye mbuga za wanyama

E - LOdges kupunguziwa kodi ili na wao wapunguze room price

F - Kupunguza VISA fee

G - Kukaa na Private sector (Hotel na Kampuni za utalii) na kusikiliza Maoni.

Waziri Kigwangala alifanya vizuri sana kukaa na wadau pale mwanzoni na kusikia maoni. Waziri asichoke.

Wabunge pia waishauri serikali.

Wana JF, mnakaribishwa kwa maoni.

Uzalendo mbele kwanza..
well-said, clearly and eloquently.
 
Back
Top Bottom