Pre GE2025 Makamu Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani, sheikh Kadogoo asema Lissu ni mropokaji: je, kama taifa, tuanze kumtathmini Lissu katika lolote asemalo?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbowe akatae Machawa ya kumchawia kamu huyu Shehe kasema wazi kuwa alipewa Cheo na Mbowe alipotoka CUF.
 
Anatoa Mada Mpumbavu asiyejua kitu kuhusu siasa wala sheria, katika Field yoyote uliyopo, hakuna unachomzdidi Lissu, na sasa ni Lissu pekee ambaye wananchi wanamsikiliza ndani ya CDM, kaprove kwa miaka mingi, sio Mnaongozwa na Form six failures kama Mbowe!
 
I wish you best of lucky with your illness!
 
HUyo ana element za mboga mboga shida nchi hii ukiwa mtu wa sheria basi wasio jua sheria wataoma unaropoka
 
Mbowe akatae Machawa ya kumchawia kamu huyu Shehe kasema wazi kuwa alipewa Cheo na Mbowe alipotoka CUF.
Masheikh ni wa kweli, sio kama Askofu Mapinduzi, alikuwa mbeba magunia ya mkaa pale Randall, ghafla anajiita askofu
 
Lisu anafaa apambane na huyu bibi kwasababu wote waropokaji, aliniacha hoi aliposema mlinzi mweusi wa magufuli amekufa
 
Lisu anafaa apambane na huyu bibi kwasababu wote waropokaji, aliniacha hoi aliposema mlinzi mweusi wa magufuli amekufa
Ndiyo ilalisema na hapa namnukuu " his security officer...the guy that you see...the dark guy that you see behind him all the time...is dead”
Jamaa muongo sana
 
Wewe na kunguni wenzio ghafla mmeanza kumsifia Mbowe mliyemuita Mugabe wa Chadema na kwamba anaongoza SACCOS ya wachaga.

Utahangaika sana , ulianza kwa Warioba sio jaji yakakushinda sasa umehamia kumsifia Mbowe tunajua mwisho wa kunguni unakuwaje.
 
Masheikh ni wa kweli, sio kama Askofu Mapinduzi, alikuwa mbeba magunia ya mkaa pale Randall, ghafla anajiita askofu
Mumetumwa na Abduli muje mchochee "mgogoro" kwasababu Lissu alikataa RUSHWA yenu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…