Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,955
- 9,041
Mbona ni kama comedian!!!Waziri wa afya nayeee
Poleni Ndugu , Jamaa na Marafiki.
Wapuuzi watasema Corona
Wapuuzi watasema Corona
Nature of death?
Bruh...Nature of death?
Phuck IRPs we need loveNimeona KKKT pia kupitia updendo media wametangaza kilo cha msaidizi wa askofu Ruvuma kama sikosei yaani RIP kwa kweli
Nature of death?
Kihiyo alikuwa msindi wa ubunge- Temeke ushindi wake ukapingwa mahakamani na Wakili Lamwai kwa sababu ndugu Kihiyo alijipa sifa za elimu ambazo hakuwa nazo- ubunge wake ulitenguliwa na mahakama. Kutoka mapo neno KIHIYO likanza kutumika kuwaelezea wasomi uchwara.Huyu Kihiyo ndio yule mwanzilishi wa hili neno'kihiyo' ?
May his memory always be a blessing
Hawa viongozi wetu wanatutia Aibu kimataifa.