TANZIA Makamu Mwenyekiti wa Chuo Kikuu cha Sebastian Kolowa, Profesa Kihiyo afariki dunia

Ni changamoto au hizi Tanzia sasa tumeanza kuzizoea
 
Nimeona KKKT pia kupitia updendo media wametangaza kilo cha msaidizi wa askofu Ruvuma kama sikosei yaani RIP kwa kweli
 
Too many IRPs more than I Love You
 
Nimeona KKKT pia kupitia updendo media wametangaza kilo cha msaidizi wa askofu Ruvuma kama sikosei yaani RIP kwa kweli
Phuck IRPs we need love
 
Huyu Kihiyo ndio yule mwanzilishi wa hili neno'kihiyo' ?
May his memory always be a blessing
Kihiyo alikuwa msindi wa ubunge- Temeke ushindi wake ukapingwa mahakamani na Wakili Lamwai kwa sababu ndugu Kihiyo alijipa sifa za elimu ambazo hakuwa nazo- ubunge wake ulitenguliwa na mahakama. Kutoka mapo neno KIHIYO likanza kutumika kuwaelezea wasomi uchwara.
 
Maprofesa again, sawa,
Nenda tu msomi wa watu Mungu mpokee Mtumishi wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…