TANZIA Makamu Mwenyekiti wa Chuo Kikuu cha Sebastian Kolowa, Profesa Kihiyo afariki dunia

TANZIA Makamu Mwenyekiti wa Chuo Kikuu cha Sebastian Kolowa, Profesa Kihiyo afariki dunia

Kihiyo alikuwa msindi wa ubunge- Temeke ushindi wake ukapingwa mahakamani na Wakili Lamwai kwa sababu ndugu Kihiyo alijipa sifa za elimu ambazo hakuwa nazo- ubunge wake ulitenguliwa na mahakama. Kutoka mapo neno KIHIYO likanza kutumika kuwaelezea wasomi uchwara.
Una uhakika ndiye huyu mkuu?
 
mkuu siyo huyu; nilikuwa namuelesha aliyedhani kuwa huyi ndiye chanzo cha jina lile la kebehi KIHIYO
Sawa sawa mkuu, kwani nakumbuka jina la kwanza lilikuwa la kiislamu kama sijakosea. Nimekuelewa mkuu, wana undugu au ni majina tu.
 
Sawa sawa mkuu, kwani nakumbuka jina la kwanza lilikuwa la kiislamu kama sijakosea. Nimekuelewa mkuu, wana undugu au ni majina tu.
Mkuu yatakuwa majina ya koo tu- udungu kwa mbali

 
Back
Top Bottom