TANZIA Makamu Mwenyekiti wa Chuo Kikuu cha Sebastian Kolowa, Profesa Kihiyo afariki dunia

Una uhakika ndiye huyu mkuu?
 
mkuu siyo huyu; nilikuwa namuelesha aliyedhani kuwa huyi ndiye chanzo cha jina lile la kebehi KIHIYO
Sawa sawa mkuu, kwani nakumbuka jina la kwanza lilikuwa la kiislamu kama sijakosea. Nimekuelewa mkuu, wana undugu au ni majina tu.
 
Sawa sawa mkuu, kwani nakumbuka jina la kwanza lilikuwa la kiislamu kama sijakosea. Nimekuelewa mkuu, wana undugu au ni majina tu.
Mkuu yatakuwa majina ya koo tu- udungu kwa mbali

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…