GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #41
Balile yuko sahihi vyombo vya habari havipigi kura
Hujawahi kuwa na 'Akili' hasa uwapo hapa JamiiForums. Niliposema kuwa Paul Makonda hapiti Kigamboni 'ulinidhihaki' hapa je, amepitishwa huko?