Naunga mkono hoja! Huyu Mzee apewe timuNadhani sasa ni muda muafaka wa kumkabidhi Timu Mzee Akilimali tuone Maajabu yake..,
Sanga yeye kama kiongozi wa taasisi kwa miaka mingi why klabu haina pesa ?Hivi tatizo Sanga au Ukame pale Jangwani?
Acha watafutane mpaka wakae sawa, tuko mbali[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Jinamizi la manji linawasumbuaHivi tatizo Sanga au Ukame pale Jangwani?