Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Makamu Mwenyekiti wa klabu ya soka ya Yanga Clement Sanga, hatimaye amejiuzulu nafasi yake baada ya baadhi ya wanachama na mashabiki kuhamasishana kwa nia ya kutaka kwenda nyumbani kwake na mapanga kwa ajili ya kumdhuru.
View attachment 816414