TANZIA Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad afariki dunia

korona zaidi mwezi?!!!!
 
Katiba ya Zanzibar inasemaje?
ACT watatoa mtu wa kumReplace Maalim au ndio nitolee?
 
Apumziike pema mwendazake... Naona shavu la umakamu linaweza muangukia jussa, au duni
 
Kweli corona ipo ila nilichogundua ikikupata usikimbilie hospital we kaa kwako upige nyungu za kutosha kama alivyofanya jiwe

..kuna corona ya kukaa nyumbani, na kuna corona ya kukimbilia hospitali.

..kuna watu vijana kuliko Maalim Seif lakini corona imewasumbua zaidi ya mwezi hawajakaa sawa.
 
Sijui alikwenda kufanya nini Chato.Huko ndo chanzo cha kifo chake. R.I.P Maalim. Hatimae upinzani Zanzibar nao umezikwa.
Iloboye kwa sie tulioishi Zanzibar Seifu alikuwa kama Mtume. Upinzani umefutika rasmi bara na Visiwani naamini upande ule unatoa machozi ya mamba tu. Corona ipo dada yangu nina maboss wangu huko wameponea chupuchupu Aghakan
 
Mwanasiasa aliyehimili vishindo vingi yawezekana kuliko wanasiasa wote walio hai Tanzania.Hakufa kwa sababu yoyote mpaka siku na saa yake ilipofika.
Alipenda sana kuzika wenzake kwa utulivu kabisa na imani.Na yeye azikwe kwa namna hiyo hiyo.
 

My deepest condolences to the family, ACT-Wazalendo, the Zanzibari nation and Tanzanians on the sad passing of Maalim Seif Shariff Hamad. Maalim Seif was the most influential leader and fearless defender of the Zanzibari people and their national aspirations. May he Rest In Peace https://t.co/zjcaMVhLeg
 
Ofisi ya makamu wa pili wa Rais Zanzibar imesema maalimu Seif rip atazikwa kesho kijijini kwao huko Pemba.

Mwili wa maalimu Seif utaondolewa hospitali ya Lugalo kesho saa 4 asubuhi na kuswaliwa katika msikiti wa Upanga kabla ya kusafirishwa kwenda Unguja saa 5 asubuhi.

Source ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
 
Unamatatizo makubwa Sana ambayo hujui kama unayo
Ila amesema ukweli,Kuna watu wakipata Corona kumpeleka hospital ni matumizi mabaya ya resources maana hawezi toboa na nchi hii wapo wengi.Hata hao wenye viburi siku ukisikia wamepata,ndo bye bye hiyo
 
Hapa hakuwa nayo,aliipata kwenye hizi trip za hapa na pale baada ya watu fulani kuamua kujitoa ufahamu na kutumia nafasi zao vibaya kuwatoa watanzania masikini ufahamu kwamba nchi hii hakuna corona
 
Hapa hakuwa nayo,aliipata kwenye hizi trip za hapa na pale baada ya watu fulani kuamua kujitoa ufahamu na kutumia nafasi zao vibaya kuwatoa watanzania masikini ufahamu kwamba nchi hii hakuna corona
Maalimu Seif akikuwa masikini?

Kwani chama chake cha ACT kilikubali kwamba corona haipo?

Je, wakati anazunguka kupiga kampeni alikuwa anachukua tahadhali yeyote?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…