Naomba ututhibitishie mkuu.Hajafariki leo, wamechelewa tu kutuambia
Mshahara wa Dhambi ni MAUTI.Mpendwa uko sawa kweli inasikitisha
Huyu mzee juzi mbona nimemuona akiongea akiwa amepona COVID na anatoa tahadhari ya ugonjwa, na kumlaumu mkewe kuwa ndo alimuambukiza? Kafa na nini sasa?Maalim asingeweza kupona Corona kwa umri wake, Walete waletee.. Kwioooo kwa babu ake...
Kitabu gani kimeandika hayo ?Unaonekana una chuki mbaya moyoni juu ya marehemu usiwe hivyo mkuu haipendeziMshahara wa Dhambi ni MAUTI.