Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais wa Zanzibar anatangaza sasaSource please?
Angepiga mazoezi angepona. Wacha afungue fursa kwa wengineMaalim asingeweza kupona Corona kwa umri wake, walete waletee. Kwioooo kwa babu ake.
Kawaumbuaje?Walikuwa wanamsuta kimagumashi bali ukweli ni kuwa wanamuogopa sana maana anawaumbua sana.
Mzito sana kwakweli....Msiba mzito sana huu! Pole nyingi kwa wapenda mabadilko.
Si wengine toka uchaguzi twitter tunausikia tu.Kigogo alisema watu wakampuuza[emoji848][emoji848], Rest easy Hamad,
Jiandae maana mnaibeza sanaWachelewe ili iweje? Acheni uzushi kuwa wamechelewa kutangaza
Poleni wafiwa
Lakini mwisho wake akaamua kuyashirikiNeema za mwenyezi Mungu ziwe juu yake legend! Kwenye enzi za uhai wake Mzee alipinga sana mambo ya kihanithi.
Sad indeed. Seif alikuwa mwanasiasa makini sana
Wacha kuweweseka maana mnaipuuza sana na kuibeza sasa jiandaeUnamatatizo makubwa Sana ambayo hujui kama unayo