TANZIA Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad afariki dunia

TANZIA Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad afariki dunia

Maalimu Seif akikuwa masikini?

Kwani chama chake cha ACT kilikubali kwamba corona haipo?

Je, wakati anazunguka kupiga kampeni alikuwa anachukua tahadhali yeyote?
Kwani tumeanza kuaminishwa kuanzia lini kwamba nchi hii haina corona? Na kwa umasikini wako wa Akili unadhani masikini ni mtu wa aina gani?
 
Iloboye kwa sie tulioishi Zanzibar Seifu alikuwa kama Mtume. Upinzani umefutika rasmi bara na Visiwani naamini upande ule unatoa machozi ya mamba tu. Corona ipo dada yangu nina maboss wangu huko wameponea chupuchupu Aghakan
Kifo cha Seif kimeniuma sana,sijui kulikuwa na ulazima gani wa yeye kwenda Mwanza then Chato. Huko ndo akaambukizwa,ukizingatia na age yake na afya yake. Covid ilikuwa rahisi sana kumchukua kama ilivyofanya.
 
...maombi ya kitaifa ya siku tatu yaliondoa korona.
 
Kifo cha Seif kimeniuma sana,sijui kulikuwa na ulazima gani wa yeye kwenda Mwanza then Chato. Huko ndo akaambukizwa,ukizingatia na age yake na afya yake. Covid ilikuwa rahisi sana kumchukua kama ilivyofanya.
Hajafa kwa Corona.KAYAFA amemuua.KAYAFA ametumia loophole ya Corona kufanya yake.
 
Mwanasiasa aliyehimili vishindo vingi yawezekana kuliko wanasiasa wote walio hai Tanzania.Hakufa kwa sababu yoyote mpaka siku na saa yake ilipofika.
Alipenda sana kuzika wenzake kwa utulivu kabisa na imani.Na yeye azikwe kwa namna hiyo hiyo.
Maalim hakuwa kama wale waliokimbilia kwa Amsterdam
 
Iloboye kwa sie tulioishi Zanzibar Seifu alikuwa kama Mtume. Upinzani umefutika rasmi bara na Visiwani naamini upande ule unatoa machozi ya mamba tu. Corona ipo dada yangu nina maboss wangu huko wameponea chupuchupu Aghakan
Ndio shida ya kutegemea mtu badala ya taasisi. Bado chagdema
 
Kwani tumeanza kuaminishwa kuanzia lini kwamba nchi hii haina corona? Na kwa umasikini wako wa Akili unadhani masikini ni mtu wa aina gani?
Nikuulize wewe mwenye akili Seif na ACT nao waliamini hakuna corona?
 
Sioni Mzanzibar mbadala atakayejaribu kuwavua Wazanzibar Koti la Muungano!
 
..kuna corona ya kukaa nyumbani, na kuna corona ya kukimbilia hospitali.

..kuna watu vijana kuliko Maalim Seif lakini corona imewasumbua zaidi ya mwezi hawajakaa sawa.
Wallah tupo. Mie nimeenda hospital zaidi ya 3 mpk nkahisi nisharogwa
 
Mwanasiasa aliyehimili vishindo vingi yawezekana kuliko wanasiasa wote walio hai Tanzania.Hakufa kwa sababu yoyote mpaka siku na saa yake ilipofika.
Alipenda sana kuzika wenzake kwa utulivu kabisa na imani.Na yeye azikwe kwa namna hiyo hiyo.
MashaAllah
 
Maalim huyu huyu CCM waliyekuwa wanamwita kila jina Baya , mchochezi , kibaraka WA mabeberu , kibaraka WA sultan , mchochezi , kibaraka WA uamsho
Siku zote marehemu akitangulia mbele ya haki basi hapa dumian tuna ya kumbuka mazuri yaake endapo kama yapo
Hayo uliyo yaandika binafsi siyajui na sitopenda sana kuyajua
 
Hata Kama hatuipendi serikali lakini tusiisingizie kwa Jambo lisilo na uhakika naamini pamoja na changamoto za JPM hawezi kufanya huu upuuzi maana uwepo wa seif kwenye serikali ya umoja wa kitaifa ulikuwa unampa sifa yeye JPM na serikali yake. Kwa hili namtetea Magufuli.
 
Nikuulize wewe mwenye akili Seif na ACT nao waliamini hakuna corona?
Nisaidie kujua Mimi ninaeamini Kuna corona,nawezaje kujilinda wakati watu wote wanaonizunguka wameamua kujitoa ufahamu kwamba Hakuna corona?
 
Maalim hakuwa kama wale waliokimbilia kwa Amsterdam
Kweli hiyo. Maudhi yote aliyopata kutoka kwa ndugu zake akina Hamad Rashid,Lipumba na wenzake alihimili na baadae kuwasahau akaendelea kushika njia ile ile bila kukimbia mapambano. Wanasiasa wengi wa upinzani wakiona mambo mazito huachia njiani ama kurudi kule kule walikotoka au kukimbia nchi moja kwa moja.
 
Back
Top Bottom