Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yote yanawezekana mkuu..Na Tanganyika.
..Hivi Huseni ni wa kumshinda Maalim Seif ktk uchaguzi huru?
Othman Masoud Othman amewahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar kabla ya kung’olewa kwa kile kinachosemwa chinichini kuwa ni kusimamia msimamo wake wa kudai Serikali tatu.Leo nimefuatilia mahojiano aliyoyafanya Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Othman Masoud Othman kupitia kipindi cha Clouds360 cha Clouds TV na nimbaki na maswali mengi kuliko majibu
Othman Masoud Othman amewahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar kabla ya kung’olewa kwa kile kinachosemwa chinichini kuwa ni kusimamia msimamo wake wa kudai Serikali tatu.
Katika mahojiano ya leo, Othman bado ameendelea na msimamo wake wa kudai serikali tatu. Ni jambo jema kuwa bado ana msimamo uleule na leo emesema wazi kuwa mfumo wa Serikali mbili una kasoro lakini swali langu ni:
Je kwanini anaendelea kuhudumu akipata stahiki zote, posho na mishahara katika Serikali ambayo iko na ushirika (muungano) na Serikali Mama ambayo haamini muundo wake?
Kwa kuwa sasa yupo ndani ya Serikali (japo tunaelewa ni ceremonial) je anafanya nini kutetea anachoamini?
Je tukisema kwa maneno anataka Serikali tatu lakini kwa matendoo ya kila siku anaishi na kuitumikia Serikali mbili nitakuwa nimekosea?
Katika mahojiano amegusia masuala mengi zaidi ikiwemo mahusiano yake na Rais Mwinyi, Uhitaji wa Katiba Mpya na mengine kadha wa kadha lakini mimi bado nina maswali mengi kuliko majibu.
Kama una muda bofya hapa utazame sehemu ya aliyoyasema
View attachment 2274424
Hata kwenye kuteua mgombea. Kama wazanzibari wa ccm wangeachiwa wateue mgombea wao wenyewe, Hussein asingepata hata nafasi ya 5...Na Tanganyika.
..Hivi Huseni ni wa kumshinda Maalim Seif ktk uchaguzi huru?
Mkuu benzemah, kwanza asante sana kwa uzi huu, akina sie tulimsikia kitambo na Kumuita ni mmwaga sumu na tukashauri Dr. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu HiiKatika mahojiano ya leo, Othman bado ameendelea na msimamo wake wa kudai serikali tatu. Ni jambo jema kuwa bado ana msimamo uleule na leo emesema wazi kuwa mfumo wa Serikali mbili una kasoro lakini swali langu ni:
Je kwanini anaendelea kuhudumu akipata stahiki zote, posho na mishahara katika Serikali ambayo iko na ushirika (muungano) na Serikali Mama ambayo haamini muundo wake?
ACT ndani ya SUK wanatekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM, hivyo there is nothing he can do!Kwa kuwa sasa yupo ndani ya Serikali (japo tunaelewa ni ceremonial) je anafanya nini kutetea anachoamini?
No hujakosea na hakuna ubaya wowote kwa mtu yoyote ku wish lolote mfano mimi napenda serikali moja lakini naitumikia serikali mbili kikamilifu.Je tukisema kwa maneno anataka Serikali tatu lakini kwa matendoo ya kila siku anaishi na kuitumikia Serikali mbili nitakuwa nimekosea?
Ila pia huyu ndiye rais wa Zanzibar ajaye 2025 kama hii sauti niliyoisikia ni kweli Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, Sauti Imeshauri Mama Amkabidhi Kwanza Dr. Mwinyi, Urais wa JMT, Ndipo Aje Mwanamke!Katika mahojiano amegusia masuala mengi zaidi ikiwemo mahusiano yake na Rais Mwinyi, Uhitaji wa Katiba Mpya na mengine kadha wa kadha lakini mimi bado nina maswali mengi kuliko majibu.
Kama una muda bofya hapa utazame sehemu ya aliyoyasema
View attachment 2274424
Kwa hiyo tuwe na Ushirikiano kama wa Kenya na Tanzania
[emoji109][emoji123]Othman Masoud huyu ni mwanasheria pia kwa sasa ni kiongozi(makamo wa kwanza wa rais SUK) katiba ya zanzibar inasema serikali ya kitaifa (ushirikiano kati ya chama kiloshinda na wapili kwenye uchaguzi) huyu hajaomba kuwa makamo wa kwanza Bali chama chake kimemteua kuchukuwa hio nafasi. Yupo kwenye nafasi ya kuteuliwa kwa mujibu wa katiba lakini chama na msimamo wake upo palepale juu ya uono wake sio uono wa serikali aliopo. Siasa kama dini unaweza kuwa muislam au mkristo lakini ndani ya hizi dini kuna madhehebu yake na tofauti zake.
Kukuuuu [emoji239][emoji239][emoji239]