Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar balozi Idd Seif yuko kwenye karantini ya Corona

Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar balozi Idd Seif yuko kwenye karantini ya Corona

Kama ni hivyo hata mkuu wa mkoa wa zanzibar Dr Shein nae awekwe karantini
Hivi mwenyekiti wa maisha wa chadema, Freeman Mbowe, na mwanawe walishatoka karantini?

Vipi mkewe na waototo, ndugu, jamaa na marafiki wengine wwliokutwnw nao,nao wamepimwa?

Wana paka au mbwa nyumbani kwao, nao vipi?
 
Tunakuza sana Corona. Wanadamu wa leo tulivyo, Inajulikana n kuogopwa kuliko hata Mwenyezi Mungu na amri zake.
Hivi watu huwa hawafi? Malaria na Africa yetu, mbona haikupewa sifa hizi tunazoipa Corona?
CORONA ni ugonjwa Mpya hapa duniani na athari zake zinaonekana wazi kijamii, kiuchumi na katika kila kitu. pia ili kutaka kujua Malaria ilikuwa na athari gani kwa Dunia ni vema ukasoma Historia yake wakati ilipoanza nini kilitokea. Unapoandika kuwa Corona inaogopwa kuliko Mungu sidhani kama umejifikirisha vya kutosha.
 
Hivi mwenyekiti wa maisha wa chadema, Freeman Mbowe, na mwanawe walishatoka karantini?

Vipi mkewe na waototo, ndugu, jamaa na marafiki wengine wwliokutwnw nao,nao wamepimwa?

Wana paka au mbwa nyumbani kwao, nao vipi?
Kuna kitu kimekutokea wewe hauko sawa, kwa hiki ulichokiandika hizi sio akili zako ninazozijua.
 
Wanasiasa ni wajanja tu. Huko anakotoka alikuwa kwenye isolation pia. Kwa hiyo isolation aloyojiwekea baada ya kurudi ni janja tu ya kuonesha watu kwamba anatii amri. Lakini kama ingelikuwa ana dalili kweli hasa huyu ni mtu wa mwanzo kukataa ushauri wa kitaalamu. Ushauri wa kitaalamu alipewa miaka mitatu iliyopita apumzike kutokana na hali yake ya kiafya mbona kaukataa. Na ndio maana kwa Bara unaona Majaaliwa anatowa ripoti wakati Zanzibar ni Waziri wa Afya. Kwa sababu huyu jamaa hata maneno hayatoki mdomoni na akikaa mbele ya camera.hawaruhusiwi kumchukuwa usoni.
 
Hivi mwenyekiti wa maisha wa chadema, Freeman Mbowe, na mwanawe walishatoka karantini?

Vipi mkewe na waototo, ndugu, jamaa na marafiki wengine wwliokutwnw nao,nao wamepimwa?

Wana paka au mbwa nyumbani kwao, nao vipi?
Mimi ni mwanachama kindakindaki wa ccm. Mambo ya Chadema nenda kawaulize wahusika
 
Mimi ni mwanachama kindakindaki wa ccm. Mambo ya Chadema nenda kawaulize wahusika
Hata uCCM wako haukuzuwii kuelewa habari, wewe pia unaweza kuwa na habari zake au mwengine yeyote anaesoma uzi huu anaweza kujibu kama anazo. Ni jukwaa huru hili.
 
Hata y CCM wako haukuzuwii kuelewa habari, wewe pia unaweza kuwa na habari zake au mwengine yeyote anaesoma uzi huu anaweza kujibu kama anazo. Ni jukwaa huru hili.
Mtafute mtu wa chadema
Muulize masuala ya chadema
Acha porojo porojo
 
CORONA ni ugonjwa Mpya hapa duniani na athari zake zinaonekana wazi kijamii, kiuchumi na katika kila kitu. pia ili kutaka kujua Malaria ilikuwa na athari gani kwa Dunia ni vema ukasoma Historia yake wakati ilipoanza nini kilitokea. Unapoandika kuwa Corona inaogopwa kuliko Mungu sidhani kama umejifikirisha vya kutosha.
Tumeikuza kuliko hata ilivyo. Tunalazimisha wote tuwe wagonjwa
 
Mtafute mtu wa chadema
Muulize masuala ya chadema
Acha porojo porojo
UCCM wako haukuzuwii kuelewa habari, wewe pia unaweza kuwa na habari zake au mwengine yeyote anaesoma uzi huu anaweza kujibu kama anazo. Ni jukwaa huru hili.

CCM nako wiki hizikuna mapoyoyo wengi pia. Sikushangai.
 
UCCM wako haukuzuwii kuelewa habari, wewe pia unaweza kuwa na habari zake au mwengine yeyote anaesoma uzi huu anaweza kujibu kama anazo. Ni jukwaa huru hili.

CCM nako wiki hizikuna mapoyoyo wengi pia. Sikushangai.
Mimi binafsi sitaki kujua mambo binafsi ya Mbowe.
 
Back
Top Bottom